Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,936
- 3,959
Na kamlima -20 juu.. Ananikumbusha class mate wangu flan mhindi kwenye mtihani wa programming aliulizwa tofauti ya C na C++ programming languages. Alichojibu sasa.Hahahahaa idiot looh![]()
Hapo lazima huyo mwanafunzi alikula njiti za maana.Mtihani:
1. Kisiwa ni nini?
Kisiwa ni kipande cha ugali kilichozungukwa na mchuzi pande zote.
hahahaha..Mtihani:
1. Kisiwa ni nini?
Kisiwa ni kipande cha ugali kilichozungukwa na mchuzi pande zote.
Angalia usije ukaamsha majirani mana hicho kicheko sio mchezo
Kama huyu
Huyo ndo bure kabisa..Nadhani kichwa yake kuna nati zimelegea au zimetoka
Hapo lazima huyo mwanafunzi alikula njiti za maana.
duh kama hakufundishwa majib hyo jamaa ni nomaa, yupo kama gari za mwendo kasiHuyo ndo bure kabisa..Nadhani kichwa yake kuna nati zimelegea au zimetoka
Mtihani:
1. Kisiwa ni nini?
Kisiwa ni kipande cha ugali kilichozungukwa na mchuzi pande zote.
Huyo kichwa chake hakiko vizuri..Anachoulizwa na anachojibu haviendani kabisaaduh kama hakufundishwa majib hyo jamaa ni nomaa, yupo kama gari za mwendo kasi
Ilibidi apate oral interview.. Usikute ameigilizia kwa mwenzieSioni kama huyu mwanafunzi ni mjinga, ana uelewa wa maana ya kisiwa ila ameshindwa kujieleza vizuri.
Ilibidi apate oral interview..[/QUOT
Alichoeleza ni mfano sahihi wa kisiwa alishindwa tu kufafanua.