Kusoma nako ni shida

Kusoma nako ni shida

Shy land

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
6,245
Reaction score
2,848
Maisha ya siku hizi ni kujipanga.

Ukizubaa lazima maisha yatakupanga.

Na usipotumia hakiri lazima utashika panga.

Japo kuwa nimesoma lakini maisha nimeshidwa kuyapanga.

Mmh..! Najiuliza wapi nilipokosea au nirudi shule tena ili niweza kujipanga.



Ajira kwa sasa nimepata lakini hela zote zinakobwa na nyumba za kupanga.

nikisema nitoke mjini,
kijijini nako yaongopa majembe na mapanga.

kweli nimeani dunia ndiye mwalimu wakukupanga.
 
Maisha ya siku hizi ni kujipanga**

Ukizubaa lazima maisha yatakupanga**

Na usipotumia hakiri lazima utashika panga**

Japo kuwa nimesoma lakini maisha nimeshidwa kuyapanga**

Mmh..! Najiuliza wapi nilipokosea au nirudi shule tena ili niweza kujipanga**



Ajira kwa sasa nimepata lakini hela zote zinakobwa na nyumba za kupanga**

nikisema nitoke mjini,
kijijini nako yaongopa majembe na mapanga**

kweli nimeani dunia ndiye mwalimu wakukupanga**

Ni shiida..!
 
Maisha ya siku hizi ni kujipanga**

Ukizubaa lazima maisha yatakupanga**

Na usipotumia hakiri lazima utashika panga**

Japo kuwa nimesoma lakini maisha nimeshidwa kuyapanga**

Mmh..! Najiuliza wapi nilipokosea au nirudi shule tena ili niweza kujipanga**



Ajira kwa sasa nimepata lakini hela zote zinakobwa na nyumba za kupanga**

nikisema nitoke mjini,
kijijini nako yaongopa majembe na mapanga**

kweli nimeani dunia ndiye mwalimu wakukupanga**

Anzisheni na nyie forum yenu ya upuuzi.lazima mnao wenzenu mshirikiane katika "mataptap" yenu.
 
Mapenzi sheedah, pesa ndio kabisaaa! Ha haa! Nimelipenda shairi lako. Wewe ulitakiwa utokee kwenye kitabu cha Malenga Wapya...
 
Da umenikumbusha mbali chungu tamu ila unafahamika mana unafaa kuwa karirisha form four mana wana final!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Maisha ya siku hizi ni kujipanga.

Ukizubaa lazima maisha yatakupanga.

Na usipotumia hakiri lazima utashika panga.

Japo kuwa nimesoma lakini maisha nimeshidwa kuyapanga.

Mmh..! Najiuliza wapi nilipokosea au nirudi shule tena ili niweza kujipanga.



Ajira kwa sasa nimepata lakini hela zote zinakobwa na nyumba za kupanga.

nikisema nitoke mjini,
kijijini nako yaongopa majembe na mapanga.

kweli nimeani dunia ndiye mwalimu wakukupanga.

hautumiii akili bali unatumia hakiri ndo maaanaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom