Kusoma Masters na GPA ya 3.3

Kusoma Masters na GPA ya 3.3

wililo

Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
78
Reaction score
27
Wadau, mtu mwenye degree ufaulu wa G.P.A ya 3.3 anaweza kwenda kusoma masters?
 
Ndio anaweza; hadi GPA 2.7 kuna baadh ya vyuo na koz flan wanachukua........!
 
niliambiwa kwa G.P.A 3.3 ni lazima uweumefanya kazi kwa muda usiopungua miaka miwili kwenye coz unayotaka kuchukulia masters. But nashukuru kwa maelekezo!
 
Anaweza. Ila itategemeana na chuo na aina ya course anayotaka kwenda kusomea.

And yes sometimes hiyo course inaweza ikawa hairuhusu mwanafunzi kwa GPA hiyo lkn experience ya kazi inaweza kukubeba.
 
masters unasoma kasoro ukiwa na pass ndu ugumu unakuwa mwingi kwa lower na upper second unapata ila itategemea na idadi ya waombaji na sifa zao pia na chuo unachoomba.
 
Wadau, mtu mwenye degree ufaulu wa G.P.A ya 3.3 anaweza kwenda kusoma masters?

Mi yangu ni 2.75,sijawahi kunyimwa nafasi nilivyoomba kusoma masterz ktk vyuo vyote nilivyoomba,nikachagua chuo kimoja tu,nimesoma na nimemaliza kwa kupata class nzuri tu tena kwenye chuo kinachoheshimika
 
wakuu je mwalimu anaweza kusomea kitu kingine masters tofauti na kozi za ualimu bila kuathiri ualimu wake nkimaanisha wakati yupo masomoni ataendelea kupokea mshahara wake kama kawaida
 
wakuu je mwalimu anaweza kusomea kitu kingine masters tofauti na kozi za ualimu bila kuathiri ualimu wake nkimaanisha wakati yupo masomoni ataendelea kupokea mshahara wake kama kawaida

management ya education
 
Mi yangu ni 2.75,sijawahi kunyimwa nafasi nilivyoomba kusoma masterz ktk vyuo vyote nilivyoomba,nikachagua chuo kimoja tu,nimesoma na nimemaliza kwa kupata class nzuri tu tena kwenye chuo kinachoheshimika

Masters zinakuwa classified siku hizi?
 
Nadhani masters nyingi ni kuanzia lower second but it depend na competition kwenye hio faculty
 
Mi yangu ni 2.75,sijawahi kunyimwa nafasi nilivyoomba kusoma masterz ktk vyuo vyote nilivyoomba,nikachagua chuo kimoja tu,nimesoma na nimemaliza kwa kupata class nzuri tu tena kwenye chuo kinachoheshimika

mkuu nipm tafadhali....
 
ulisoma chuo gani mkuu na course gani ambaye upo research?
 
Mi yangu ni 2.75,sijawahi kunyimwa nafasi nilivyoomba kusoma masterz ktk vyuo vyote nilivyoomba,nikachagua chuo kimoja tu,nimesoma na nimemaliza kwa kupata class nzuri tu tena kwenye chuo kinachoheshimika

Hamna GPA ya 2.75! Kwenye cheti

Ila kuna GPA ya 2.7.
Gpa ina one decimal place na inkuwa trancated
 
Hamna GPA ya 2.75! Kwenye cheti

Ila kuna GPA ya 2.7.
Gpa ina one decimal place na inkuwa trancated

Labda mfumo umebadilika hadi kukawa na hiyo GPA maana kuna mwingine anaweza kusema ana GPA ya 6.8
 
Back
Top Bottom