baada ya kurudisha fomu anakuja
Lowasa hana chake Kusini. Magufuli atosha
View attachment 277256
wamsubiri tu
unazungumzia kusini ipi au huko malangu siku hizi kunakusini?
lizaboni wanakusini hawataki ata kuisikia ccm. Wanasema ccm njooni lakini "kusini tunajambo letu moyoni"
Nitamchagua diwani na Mbunge kutoka UKAWA na si zaidi ya hapo. Kwa siye tuaminiao kwenye misingi na tunu Lowassa hachaguliki, kumchagua Lowassa sawa na Kujitia Kidole Matakoni kamwe siwezi,nawatakia kila la kheri muiwezayo kazi hiyo!
Lowasa hana chake Kusini. Magufuli atosha