Kusini kumesahaulika

Mr Mayunga

JF-Expert Member
Jun 11, 2011
313
40
Hebu watendaji wa wilaya za kusini msiweke siasa kwenye hili,igeni mifano kwenye wilaya zingine.Kesho tar.6 inasemekana semina kuhusu sensa zinaanza sa 2 asubuh!lakini mpaka sasa majina ya makarani bado hamjayatoa hivi maana yake ni nini?inaonyesha jinsi mipango ya maendeleo mengine yanavyokwenda, Utawala huo sio mzuri hatakidogo,kwa staili hii maendeleo kusini yatachukua mda mrefu.Hebu badilikeni.
 
Hebu watendaji wa wilaya za kusini msiweke siasa kwenye hili,igeni mifano kwenye wilaya zingine.Kesho tar.6 inasemekana semina kuhusu sensa zinaanza sa 2 asubuh!lakini mpaka sasa majina ya makarani bado hamjayatoa hivi maana yake ni nini?inaonyesha jinsi mipango ya maendeleo mengine yanavyokwenda, Utawala huo sio mzuri hatakidogo,kwa staili hii maendeleo kusini yatachukua mda mrefu.Hebu badilikeni.

Vipi bwana Mayunga!hebu kuwa wazi kidogo, hivi hao watendaji wa wilaya zote huko kusini ni wachaga? Je, hawawajibiki kwa serikali kuu ya Dar es salaam? na kama wanawajibika kwa nini iwe kusini tu na si pengine? au CDM na hapa itasingiziwa tena? Chonde chonde watumishi wa serikali mnaolipwa kwa kodi zetu fanyeni kazi mlizoomba.Kumbukeni mnadhamana kubwa sana katika umoja na maendeleo ya taifa letu.
 
Vp umeomba nafas nin kama unategemea huko nakusih potezea kwan wanajulikana man ni walele ccm!
 
Hebu watendaji wa wilaya za kusini msiweke siasa kwenye hili,igeni mifano kwenye wilaya zingine.Kesho tar.6 inasemekana semina kuhusu sensa zinaanza sa 2 asubuh!lakini mpaka sasa majina ya makarani bado hamjayatoa hivi maana yake ni nini?inaonyesha jinsi mipango ya maendeleo mengine yanavyokwenda, Utawala huo sio mzuri hatakidogo,kwa staili hii maendeleo kusini yatachukua mda mrefu.Hebu badilikeni.
Mkuu kumesahaulika kwa miaka 50 lakini kuanzia 2015 kutakuwa na mabadiliko ambayo hayajapata kuonekana sehemu yeyote ya Nchi hiii
 
Precise pangolin, Hayo maendeleo yataletwa na wana kusini wenyewe au wahamiaji wengine? Unafikiri kuwa na gesi ndiyo kigezo cha kupata maendeleo? Mimi nadhani tatizo la kusini kukosa maendeleo linafanana na la pwani...hakuna mwamko kwenye mambo ya maendeleo ila mwamko upo kwenye mambo ya mila ambazo nyingine zinawarudisha nyuma tu...mfano nasikia sasa hivi huko kusini ni msimu wa jando/unyago na kuna mtu hapa kaniambia mpaka serikali inatambua hilo na shule nyingi hata zile zisizo za serikali zinafungwa kwa ajili ya shughuli hiyo(mwenye kujua zaidi atueleze)
 
Back
Top Bottom