Kusingekuwa na bangi na sigara dunia ingekuwaje?

Kusingekuwa na bangi na sigara dunia ingekuwaje?

Kaa chini jipe muda kidogo na kutafakari je kusingekuwa na bangi na sigara maisha haya yangekuwaje?

Haki ya nani ni jambo la kushukuru sana.

Mbarikiwe wanangu!

adriz de mbusii
Mimi huwa najiuliza:

1. Nani aligundua bangi, tumbaku, mirungi n.k.

2. Alikuwa anafanya nini hadi akagundua mimea hiyo?

3. Je, hakuna mimea mingine ambayo bado haijagunduliwa ambayo inasifa kama bangi, tumbaku n.k
 
Mimi huwa najiuliza:

1. Nani aligundua bangi, tumbaku, mirungi n.k.

2. Alikuwa anafanya nini hadi akagundua mimea hiyo?

3. Je, hakuna mimea mingine ambayo bado haijagunduliwa ambayo inasifa kama bangi, tumbaku n.k
1.Bangi iligunduliwa na mbuzi alikula majani na peke zake akalewa na kufanya vituko vingi,hio ndo stori fupi ya ugunduz wa bangi...

3.mimea haipo unajua bangi ni stimulant kwahiyo Kama utapata mmea mwingine ambao ni stimulant bado itaonekana ni bangi tu....
Ndio maana badala ya kutafuta mimea mingine wamejikita kwenye kuzalisha mbegu Bora za kisasa ili kuendana na soko na mabadiliko ya tabia nchi
 
1.Bangi iligunduliwa na mbuzi alikula majani na peke zake akalewa na kufanya vituko vingi,hio ndo stori fupi ya ugunduz wa bangi...

3.mimea haipo unajua bangi ni stimulant kwahiyo Kama utapata mmea mwingine ambao ni stimulant bado itaonekana ni bangi tu....
Ndio maana badala ya kutafuta mimea mingine wamejikita kwenye kuzalisha mbegu Bora za kisasa ili kuendana na soko na mabadiliko ya tabia nchi
Mbona yale majani nilushawahi kuyatafuna na sikuona chochote. Hata mbegu za bangi nimetafuna sana.
 
Yan tuna nyanyasika Sana wavutaji,... jamii imekua against na sisi Bila hata kujua uhalisia wanaona Kama tumekata ringi😭
Wanatubagua for nothing! Wanaepuka kishungi na hawana sababu za msingi! Kila mtu aishi maisha yake!😅
 
Kwan huon vijan wavut bang asilimia kubwa hawana muelekeo wowt wa maisha
Umri wako? Nimeanza vuta bange form 1 mpaka sasa muongo na miaka kadhaa ishapita lakini kwenye circle yangu ya ndugu na marafiki ni chini ya watu watatu tu wanajua natumia.

Hao unaowasema hawana tofauti na walevi ambao kuanzia asubuhi mpaka jua linazama wanashindia sungura, lazima akili zisiwe sawa

Hakikisha unamtembelea sadali mara moja kwa week kwa ustawi wa afya yako
 
Hahah hata matajiri wanavuta vzr tu depends na nani anakuzunguka basi! Ndiomaana unaona vijana pekee yao!
Kuhusu matajir io ni Kesi nyingine vip kuhusu Hawa vijan wa mtaan ambao wanashinda vijiwen wanavuta bang na hawana kaz zinazo eleweka
 
Kuhusu matajir io ni Kesi nyingine vip kuhusu Hawa vijan wa mtaan ambao wanashinda vijiwen wanavuta bang na hawana kaz zinazo eleweka
Hao ni wapumbavu kimpango wao huwezi kushinda unavuta bangi tu lazima ufanye mambo mengine pia! Ukifululiza hivyo lazima uwe chizi freshy!
 
Back
Top Bottom