Kingo
JF-Expert Member
- May 12, 2009
- 855
- 390
Mawasiliano kati ya wilaya ya Kilosa na Kilombero yamekuwa shakani baada ya uongozi wa Wilaya ya Kilombero kusitisha uchaguzi ambao ungefanyika jana kwa madai kuwa mgombea wa CDM hana sifa ya kugombea kwani alikuwa kifungoni na akaachiwa ghafla. Hali hiyo imeleta mtafaruku na hali si nzuri sana na diwani wa eneo hilo kajiufungia ndani tangu asb.
Source: ITV Breaking News, Morogoro RPC
Source: ITV Breaking News, Morogoro RPC