Jamani wanajamii forum naomba kujua utaratibu gani unatumika kumuondoa diwani kama hafanyi kazi zake ipasavyo?wanakijiji hawamtaki ila hawajui waanze wapi na nani aanze kumfunga paka kengele
Jamani wanajamii forum naomba kujua utaratibu gani unatumika kumuondoa diwani kama hafanyi kazi zake ipasavyo?wanakijiji hawamtaki ila hawajui waanze wapi na nani aanze kumfunga paka kengele
Jamani wanajamii forum naomba kujua utaratibu gani unatumika kumuondoa diwani kama hafanyi kazi zake ipasavyo?wanakijiji hawamtaki ila hawajui waanze wapi na nani aanze kumfunga paka kengele