Kushuka kwa bei ya ufuta

Bigbon

JF-Expert Member
May 21, 2016
600
729
Habari Wakuu

Naomba msaada wa kujua sababu zipi zimepelekea bei ya ufuta kushuka.....kwa mfano mkoa wa Pwani hususani wilaya ya Rufiji wanunuzi ama walaguzi(waachuuzi ) walianza kununu ufuta kwa bei ya shilingi 1800 kwa kilo moja ya ufuta..... lakini tangu tarehe 10/6/2016 wamepunguza na kununua kwa bei ya shililgi 1600 kwa kilo.Je kuna nini uko katika soko la ufuta wanapopeleka hawa wanunuzi wachuuzi?
 
Back
Top Bottom