Bigbon
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 600
- 729
Habari Wakuu
Naomba msaada wa kujua sababu zipi zimepelekea bei ya ufuta kushuka.....kwa mfano mkoa wa Pwani hususani wilaya ya Rufiji wanunuzi ama walaguzi(waachuuzi ) walianza kununu ufuta kwa bei ya shilingi 1800 kwa kilo moja ya ufuta..... lakini tangu tarehe 10/6/2016 wamepunguza na kununua kwa bei ya shililgi 1600 kwa kilo.Je kuna nini uko katika soko la ufuta wanapopeleka hawa wanunuzi wachuuzi?
Naomba msaada wa kujua sababu zipi zimepelekea bei ya ufuta kushuka.....kwa mfano mkoa wa Pwani hususani wilaya ya Rufiji wanunuzi ama walaguzi(waachuuzi ) walianza kununu ufuta kwa bei ya shilingi 1800 kwa kilo moja ya ufuta..... lakini tangu tarehe 10/6/2016 wamepunguza na kununua kwa bei ya shililgi 1600 kwa kilo.Je kuna nini uko katika soko la ufuta wanapopeleka hawa wanunuzi wachuuzi?