Babu Kijana
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 584
- 267
Hi all napenda kuuliza hivi karibuni ilitokea rafiki yangu ameshika damu ya muathirika wa ukimwi aliyekuwa akimuhudumia ikamgusa kwenye mkono hakuwa amevaa gloves na wala hakuwa na michubuko. Anaweza kupata maambukizi kwa njia hii? Naomba kwaslilisha