Kushangilia kwenye sinema

Kushangilia kwenye sinema

Teknocrat

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
7,952
Reaction score
15,732
Leo nimewatoa madogo kwenda kuangalia movie waliokuwa wanaisubiria kwa hamu sana ya Minecraft
Aisee, sikujua kumbe leo ndio ilikuwa onyesho la kwanza nchi nzima

Huo Mzuka nilioukuta humo ndani kwa vijana wa mashabiki wa video game ya Minecraft sio mchezo.
Ilikuwa ni miruzi na makofi na kushangilia kwa sana, kila ikitokea sehemu inawakosha , kama I am Steveeee.................... Chicken Jerky......

Zamani wakati tunapelekwa kungalia movie na wazazi huko Empire, New Chox na Odeon cinema, kuangalia movie za kihindi na za Bruce Lee, ilikuwa ni shangwe na makofi mengi ndani ya movie kutoka kwa watazamaji, pale starring anapotembeza mkono.
Nilivyokua kijana nikiwa nikienda mwenyewe na kukutana na hizi kelele na vigelegele ndani ya movie nilikuwa naona ni ushamba sana,

Ila leo nimejiona mimi ni mshamba, sababu madogo na wenyewe kumbe wanacheza sana hiyo game ya Minecraft na wenyewe walikuwa mstari wa mbele kupiga makelele na makofi ndani ya movie , mwanzoni nilikuwa nawakaripia watulie kumbe wananiona dingi mnoko hata kwenye movie, ila baadae hata mimi nilijikuta naanza kushangilia nao na makofi mengi ndani movie.
Kweli uzee ni ushamba....
 
Leo nimewatoa madogo kwenda kuangalia movie waliokuwa wanaisubiria kwa hamu sana ya Minecraft
Aisee, sikujua kumbe leo ndio ilikuwa onyesho la kwanza nchi nzima

Huo Mzuka nilioukuta humo ndani kwa vijana wa mashabiki wa video game ya Minecraft sio mchezo.
Ilikuwa ni miruzi na makofi na kushangilia kwa sana, kila ikitokea sehemu inawakosha , kama I am Steveeee.................... Chicken Jerky......

Zamani wakati tunapelekwa kungalia movie na wazazi huko Empire, New Chox na Odeon cinema, kuangalia movie za kihindi na za Bruce Lee, ilikuwa ni shangwe na makofi mengi ndani ya movie kutoka kwa watazamaji, pale starring anapotembeza mkono.
Nilivyokua kijana nikiwa nikienda mwenyewe na kukutana na hizi kelele na vigelegele ndani ya movie nilikuwa naona ni ushamba sana,

Ila leo nimejiona mimi ni mshamba, sababu madogo na wenyewe kumbe wanacheza sana hiyo game ya Minecraft na wenyewe walikuwa mstari wa mbele kupiga makelele na makofi ndani ya movie , mwanzoni nilikuwa nawakaripia watulie kumbe wananiona dingi mnoko hata kwenye movie, ila baadae hata mimi nilijikuta naanza kushangilia nao na makofi mengi ndani movie.
Kweli uzee ni ushamba....
Ni wewe peke yako Mzee Mshamba
 
Baba pumbavu hili unapeleka watoto kuangalia movie zilizojaa content LS za ushoga na usagaji halafu unakuja kujitangaza
Mkongwe, acha basi!
Ni kweli hii movie ina content za ushoga au hisia zako tu?
Maana Jason Momoa matambala yake huwaga nayaelewa sana!
Kama ina contents zenye ushoga thibitisha ili baadae ikitoka nisije kuchoma MB zangu.
 
Mkongwe, acha basi!
Ni kweli hii movie ina content za ushoga au hisia zako tu?
Maana Jason Momoa matambala yake huwaga nayaelewa sana!
Kama ina contents zenye ushoga thibitisha ili baadae ikitoka nisije kuchoma MB zangu.
Haihitaji kureason na choka mbovu, huwa wanaona kile wasicho na uwezo nao, ni ushoga
Masikini hana tofauti na mchawi
 
Sawa mkongwe, tumeshajua kama umetokea ukoo wa kishua.
Tumeshajua.
Kama kwenda movie ni maisha ya kishua, basi hii nchi, ina umasikini wa kutupwa, hali sio nzuri kabisa
Na nitawashukuru wazazi wangu kwa kujipambania maisha yao. walikuwa wanajua nini maana ya kuleta viumbe wengine dunia,
Nashangaa sana wabongo, mtu akipata uwezo wa kupanga chumba kimoja, anatafuta mke na tayari anaanza kufyatua watoto ambao anawaleta kuishi kwenye umasikini wake,
Sad life......
 
Watu maskini wasio na uwezo wakiona mtu anafurahi kitu wanaona kama anafanya anasa,sasa mnaumiaje mtu kupeleka vijana cinema wafurahi kama siyo roho ya umaskini.
sio chuki mkuuu, ww hulijui tuhili lijamaa, content zake humu mda wote ni za upinde upinde na kuwatamani madogoo....ni bonge la mchicha mwiba hili!
 
sio chuki mkuuu, ww hulijui tuhili lijamaa, content zake humu mda wote ni za upinde upinde na kuwatamani madogoo....ni bonge la mchicha mwiba hili!
xumabaako unawashwa choko wewe
leta hizo content zangu humu za upinde
mudafaking biaach puto wewe ...

Akili yako inawaza kufirwa tu,
 
Watu maskini wasio na uwezo wakiona mtu anafurahi kitu wanaona kama anafanya anasa,sasa mnaumiaje mtu kupeleka vijana cinema wafurahi kama siyo roho ya umaskini.
Umemaliza mkuu
Umasikini ni kitu kibaya sana,
Naaanza kukubalina na hii mada hapo chini...

 
Kama kwenda movie ni maisha ya kishua, basi hii nchi, ina umasikini wa kutupwa, hali sio nzuri kabisa
Na nitawashukuru wazazi wangu kwa kujipambania maisha yao. walikuwa wanajua nini maana ya kuleta viumbe wengine dunia,
Nashangaa sana wabongo, mtu akipata uwezo wa kupanga chumba kimoja, anatafuta mke na tayari anaanza kufyatua watoto ambao anawaleta kuishi kwenye umasikini wake,
Sad life......
Tamba tu mtoto wa kishua.
Uwanja wako huu.
😂😂😂
 
Umemaliza mkuu
Umasikini ni kitu kibaya sana,
Naaanza kukubalina na hii mada hapo chini...

Umewahi kusaidia masikini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom