Kusema unabana matumizi bila kusema unaokoa shilingi ngapi ni upuuzi!

xaracter

JF-Expert Member
Jul 28, 2015
1,026
606
Hii waziri ya hiyo kitu inahusiana na TBC ,anatuambia anabana matumizi bila kutuambia anatumia bilioni nne asipoonnyesha live atatumia sh ngapi na hivyo anaokoa sh ngapi na hiyo hela anayookoa inatumika vipi ni crap ? Censorship Imeanza period!
 
heheh,,ni waziri wa habari na michezo lakini naona anaongelea mambo ya uchumi,,poor him
 
Nape Nnauye ni tutusa linaloiendesha TBCCM kwa kodi za wananchi lakini kwa manufaa ya mafisadi wa CCM kama chenge, et al.
 
CCM wameua sana elimu nchini!

Mbaya zaidi kwa sasa kuna kundi kubwa la watu wenye uelewa nusu lakini wanadhani wanaelewa kila kitu kwa sababu wana vyeti vya kuhitimu!

Half knowledge is worse than ignorance!
 
Gharama za bunge kwa mwezi zinazidi hiyo bil. 4, asilimia kubwa ya matumizi sio ya lazima. Wapunguze kidogo gharama za bunge sisi wananchi tupate haki yetu ya kujua wabunge wetu wanafanya nini na hii awamu mpya inafanya nini.
 
Magufuli naye ajiongeze bwana, yaani watu wanataka kumchafulia yeye anachekacheka tu? Inakuwaje waziri jingajinga tu linakuja mbele za watu kutapika minyoo? Kama hili jipu hatalitumbua naye tutajua ni jipu!
 
Halafu amefanya utafiti,heeh heeh.Akaulizwa hii live nani kalipia?akajibu ni kama Mengi anavoruka live ITV,tunalo
 
Utafiti amefanya lini eti zimefanyika tafiti za jumla kwa mabunge mengi huu ni ukiazi kabisa
 
Alivyao fanyiwa jana live coverage haikuwa matumizi mabaya ya fedha,au ndiyo kubana matumizi
 
Hii waziri ya hiyo kitu inahusiana na TBC ,anatuambia anabana matumizi bila kutuambia anatumia bilioni nne asipoonnyesha live atatumia sh ngapi na hivyo anaokoa sh ngapi na hiyo hela anayookoa inatumika vipi ni crap ? Censorship Imeanza period!

Nadhani hili ndiyo swali wabunge wa upinzani walitakiwa wahoji!

Badala ya kupoga kellele na kuleta fujo wangesimamia katika kujiridhisha hizo bilioni 14 ni hesabu za kweli au ni kisinvizio cha serikali. Kama no za kweli washauri nini kifanyike.

Kuleta fujo kunatoa picha ni watu wanaopania kukwamisha mjadala mvutano ambao kwa idadi yao hawatashinda, wataishia kufukuzwa mpaka mjadala utakapofungwa.
 
Back
Top Bottom