Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 13,625
- 29,891
Watu wachache sana nimeambiwa na waandikishaji 7. Kati yao 4 ni kutoka Dar. Wanasema mwitikio ulikuwa mdogo sana pamoja na kuongeza siku za kuandikisha bado watu hawakujiandikisha.
Kuna mambo tuwe tunaongea ukweli mara moja moja. Ingawa nampa tena mitano Samia. Au mikumi tena.
Hali ya hewa ikoje Dar? Sisi huku kuna baridi sana. Nikirudi nami nadhani nifungue Kampuni nipige pesa kama Rostam Aziz Key.
Kuna mambo tuwe tunaongea ukweli mara moja moja. Ingawa nampa tena mitano Samia. Au mikumi tena.
Hali ya hewa ikoje Dar? Sisi huku kuna baridi sana. Nikirudi nami nadhani nifungue Kampuni nipige pesa kama Rostam Aziz Key.