Kusema maendeleo yasipelekwe sehemu fulani kwa sababu Rais,Waziri Mkuu anatokea huko ni upuuzi mkubwa

Wachanga wamepambana na hali zao kuhakikisha maendeleo yanapatikana kwao.nchi hii haijawah kua na rais mchaga.mm sio wa huko lakini hoja yako haina mashiko.Ukilazimisha maendeleo kwa nguvu ni kazi bure.Ukipeleka uwanja wa ndege mahali angalia jamii husika.watu wa jamii husika lazma waamke.Angalia mahitaji yao.Wengine wanataka soko la pamba ww unapeleka Airport. Arusha na moshi yote ni miji ya kitalii then unataka viwanja vya ndege vijengwe Manyara ili madini unayosema yapande ndege kirahisi kwenda Ulaya?.uzalendo wako una mashaka.NI kweli shughili za mji wa Manyara ni nyingi kma utalii lakini ukifuatilia kampuni zote za utalii ziko Moshi na Arusha.Huko Manyara kwako ni kwenda kuangalia wanyama tu,dola zikiwa zimebaki Arusha na Moshi.Hahahaaaa.Hao wabaki kuonyesha watalii shughuli mbalimbali ikiwemo tamaduni za kimasai.
Mm ni mzaliwa wa Kilimanjaro.
Nataka nikuambie ukweli usio kificho vingi ya ulivyotaja hapo juu vililetwa na Serikali zilizokuwepo si kwa sababu mnazoaminishwa kuwa jamii zetu zilikuwa zimeelimika jambo ambalo si kweli kwani bado kulikuwa na % kubwa sana ya wasio na elimu kuluko waliopata elimu. Maendeleo yaliebda kwa sababu ya vivutio vilivyokuwepo na ambavyo kwa Taifa vilikuwa ni kipaumbele kuweka miundo mbinu sambamba na huduma. Tena watendaji walikuwa ni wa kutoka jamii zingine za nchi hii na walitimiza wajibu wao pasipo kinyongo bila kujali wao sio watu wa Kaskazini.

Usilolijua ama unalolidharau ni kuwa nchi yetu ina vivutio vingi ambavyo kwa Dunia ya sasa sio lazima biashara yake ipitie baharini kama ilivyokuwa enzi za mkoloni na awamu za mwanzo baada ya Uhuru. Au utalii u-operate kutokea Mikoa ya Kaskazini pekee. Hata Musoma au Mwanza Mtalii anaweza fika akaenda Serengeti mradi atengenezewe plan nzuri na yenye tija kwa upande wake.

Haihitaji mfanya biashara wa madini wa Geita na maeneo mengine wa kanda hizo asafiri hadi Kilmanjaro,Dar,Kigali au Entebe ili aende nchi za nje and v/s. Hayo yamepitwa na wakati sasa ambapo Wafanya biashara wanataka kufika mahali haraka na kumaliza deals zao waangalie issue zingine.. Hivyo kuwa na International Airport eneo la Mikoa ya Ziwa Nyanza kwangu mimi ni fursa nzuri itakayofungua zaidi milango ya uchumi wa taifa letu.

Pili utalii nchi hii ni mpana na umeenea kila kona ya nchi kuliko unavyofikiria wewe. Kigoma inajulikana kimataufa kwa Sokwe na utalii wa eneo la Ziwa Tanganyika,jirani na hayo maeneo ya Geita,Chato Biharsmulo kuna hifadhi zipo. In short kunahitajika kufungua milango ya fursa tulizo nazo kila kona ya nchi yetu ili kuimarusha uchumi wetu. Kinachohitajika ni wananchi kujiongeza na kujichanganya kwenye fursa hizi na sio kufanya promo za ubaguzi.
 
Mm ni mzaliwa wa Kilimanjaro.
Nataka nikuambie ukweli usio kificho vingi ya ulivyotaja hapo juu vililetwa na Serikali zilizokuwepo si kwa sababu mnazoaminishwa kuwa jamii zetu zilikuwa zimeelimika jambo ambalo si kweli kwani bado kulikuwa na % kubwa sana ya wasio na elimu kuluko waliopata elimu. Maendeleo yaliebda kwa sababu ya vivutio vilivyokuwepo na ambavyo kwa Taifa vilikuwa ni kipaumbele kuweka miundo mbinu sambamba na huduma. Tena watendaji walikuwa ni wa kutoka jamii zingine za nchi hii na walitimiza wajibu wao pasipo kinyongo bila kujali wao sio watu wa Kaskazini.

Usilolijua ama unalolidharau ni kuwa nchi yetu ina vivutio vingi ambavyo kwa Dunia ya sasa sio lazima biashara yake ipitie baharini kama ilivyokuwa enzi za mkoloni na awamu za mwanzo baada ya Uhuru. Au utalii u-operate kutokea Mikoa ya Kaskazini pekee. Hata Musoma au Mwanza Mtalii anaweza fika akaenda Serengeti mradi atengenezewe plan nzuri na yenye tija kwa upande wake.

Haihitaji mfanya biashara wa madini wa Geita na maeneo mengine wa kanda hizo asafiri hadi Kilmanjaro,Dar,Kigali au Entebe ili aende nchi za nje and v/s. Hayo yamepitwa na wakati sasa ambapo Wafanya biashara wanataka kufika mahali haraka na kumaliza deals zao waangalie issue zingine.. Hivyo kuwa na International Airport eneo la Mikoa ya Ziwa Nyanza kwangu mimi ni fursa nzuri itakayofungua zaidi milango ya uchumi wa taifa letu.

Pili utalii nchi hii ni mpana na umeenea kila kona ya nchi kuliko unavyofikiria wewe. Kigoma inajulikana kimataufa kwa Sokwe na utalii wa eneo la Ziwa Tanganyika,jirani na hayo maeneo ya Geita,Chato Biharsmulo kuna hifadhi zipo. In short kunahitajika kufungua milango ya fursa tulizo nazo kila kona ya nchi yetu ili kuimarusha uchumi wetu. Kinachohitajika ni wananchi kujiongeza na kujichanganya kwenye fursa hizi na sio kufanya promo za ubaguzi.
Achaa kuzuga ww,, we sio mwenyeji wa Kilimanjaro...
 
Kumezuka tabia mbaya sana na yenye kila viashiria vya kutaka kuwabagua Watanzania. Hili limekuwa gumzo kubwa la wasiopenda cake ya Taifa iende kila mahali baki kwao tu.

Kwa kisingizio kuwa Kuongozi akitoka mahali fulani basi maendeleo yasipelekwe huko bali yaendelee kwenda kwao kwa sababu itakuwa ni upendeleo na dhambi kubwa kuendeleza anakotoka kiongozi Mkuu.

Huu kwangu ni uchoyo na uchonganishi wenye nia ovu ya kuligawa Taifa.

Nazungumza hivi ni kiwa ni Mzaliwa wa Kaskazini na ambaye nimeshuhudia miongo ambayo kwetu tumependelewa sana tangu Uhuru kuanzia Umeme hadi miundo.binu nk. Tumekuwa na kawaida ya kuwahadaa wenzetu kuwa maendeleo yanaenda kwetu kwa sababu tumesoma nk.

Nakumbuka hata Mh: Nagu aliwahi kulalamikiwa kuwa kuna idara na Wizara fulani zimejaa watu wa Kaskazini na moja ya majibu aliyojibu ni kuwa sio kosa kwa watu wa Kaskazini kujazana TRA kwa sababu ndio waluosomea taaluma hizo, akaongeza kuwa kama jamii zingine zinataka kufanya huko waende wakasome na wao wataajiriwa.

Tulishangilia sana hili huku tukisahau kuwa kauli zile ndizo zilikuwa Alalaye usimwamshe kwani akiamka utalala wewe. Na hili ndilo limetumia sasa ambapo mnaona kuna wanasiasa wanatumia Mwanya huo huo kujiimarisha kwa kutoa kauli za kibaguzi huku wakisahau kuwa wao ndio waliopanda mbegu hizi.

Kutoka Mwanza hadi Bukona ni km 446
Kutoka Bukoba hadi Chato ni km 220
Geita hadi chato ni km 118

Na Moshi hadi Arusha ni km 119

Sasa miji ya Moshi na Arusha yote ina Airport ndogo halafu ikajengwa International Airport kubwa mpakani mwa miji hiyo mitatu yaArusha,Manyara na Moshi, na watu wa Manyara hawalalamiki kukosa Airport ingawa eneo lao lina activities za migodi,Utalii,Kilimo na Ufugaji.

Je sio Bisara kwa Serikali kutafuta eneo ambalo ni rahisi kifikika kutokea pande zote tajwa hapo juu na kujenga International Airport ili watu wa zone hiyo ya Kaskazini Magharibi(Nyanza) wote wafikie huduma km ilivyo Kule Kaskazini KIA?

Tujiulize faida itakayopatikana kwa uwekezaji huu si inaenda Serikalini na kupanua wigo wa upatikanaji wa fedha za Maendeleo tunazopewa kwenye Mikoa yetu kupitia idara mbalimbali?

Sambamba na hili Mbeya uwanja unaboreshwa na kuwa wa hadhi ya Kimataifa, mbona hatusikii kelele zikipigwa kuwa labda wanapendelewa?

Mtu atakuja na hoja kwamba kwanini Mwanza Airport isiboreshwe,lkn wengi wetu tuliofika pale tunajuajinsi palivyo padogo na changamoto zinazoikabili uwanja ule Mvua kubwa ikinyesha

Namaliza kwa kusema tusirubuniwe kwa kupotoshwa na wasiopenda maendele ya Taifa letu bali tupendane tuvumiliane pale unapoona mkate fulani umepelekwa kwa jirani yako.

Kikubwa ni nchi yetu sote km unaona sehemu fulani fursa zinaibukia huko jipange uwahi ukakamate hizo fursa, na hii ndio raha ya uhuru tulionaousiobagua Kabila au Ukanda.

Tuache roho mbaya na kugawa Taifa letu kwa ubaguzi huu unaofanywa na Upinzani.

PENDA SANA kuhusisha akili kwenye argument zake,
Tunasema uchumi umelenga kwenye kutumia scarcity ya resource tulizo nazo na kuziallocate effectively and efficiently.
mengine yote ni ............., kitu kikuba cha kulenga ni economic benefits, unaposema unajenga kiwanda kikubwa cha korosho Tabora wakati kiorosho zinatoka mtawara huko ni kufuja mali za uma, ukijenga Mtwara hiyo ndo effective alalocation of resources, (Its should be economic viable thing) na si vingine.
 
Kumezuka tabia mbaya sana na yenye kila viashiria vya kutaka kuwabagua Watanzania. Hili limekuwa gumzo kubwa la wasiopenda cake ya Taifa iende kila mahali baki kwao tu.

Kwa kisingizio kuwa Kuongozi akitoka mahali fulani basi maendeleo yasipelekwe huko bali yaendelee kwenda kwao kwa sababu itakuwa ni upendeleo na dhambi kubwa kuendeleza anakotoka kiongozi Mkuu.

Huu kwangu ni uchoyo na uchonganishi wenye nia ovu ya kuligawa Taifa.

Nazungumza hivi ni kiwa ni Mzaliwa wa Kaskazini na ambaye nimeshuhudia miongo ambayo kwetu tumependelewa sana tangu Uhuru kuanzia Umeme hadi miundo.binu nk. Tumekuwa na kawaida ya kuwahadaa wenzetu kuwa maendeleo yanaenda kwetu kwa sababu tumesoma nk.

Nakumbuka hata Mh: Nagu aliwahi kulalamikiwa kuwa kuna idara na Wizara fulani zimejaa watu wa Kaskazini na moja ya majibu aliyojibu ni kuwa sio kosa kwa watu wa Kaskazini kujazana TRA kwa sababu ndio waluosomea taaluma hizo, akaongeza kuwa kama jamii zingine zinataka kufanya huko waende wakasome na wao wataajiriwa.

Tulishangilia sana hili huku tukisahau kuwa kauli zile ndizo zilikuwa Alalaye usimwamshe kwani akiamka utalala wewe. Na hili ndilo limetumia sasa ambapo mnaona kuna wanasiasa wanatumia Mwanya huo huo kujiimarisha kwa kutoa kauli za kibaguzi huku wakisahau kuwa wao ndio waliopanda mbegu hizi.

Kutoka Mwanza hadi Bukona ni km 446
Kutoka Bukoba hadi Chato ni km 220
Geita hadi chato ni km 118

Na Moshi hadi Arusha ni km 119

Sasa miji ya Moshi na Arusha yote ina Airport ndogo halafu ikajengwa International Airport kubwa mpakani mwa miji hiyo mitatu yaArusha,Manyara na Moshi, na watu wa Manyara hawalalamiki kukosa Airport ingawa eneo lao lina activities za migodi,Utalii,Kilimo na Ufugaji.

Je sio Bisara kwa Serikali kutafuta eneo ambalo ni rahisi kifikika kutokea pande zote tajwa hapo juu na kujenga International Airport ili watu wa zone hiyo ya Kaskazini Magharibi(Nyanza) wote wafikie huduma km ilivyo Kule Kaskazini KIA?

Tujiulize faida itakayopatikana kwa uwekezaji huu si inaenda Serikalini na kupanua wigo wa upatikanaji wa fedha za Maendeleo tunazopewa kwenye Mikoa yetu kupitia idara mbalimbali?

Sambamba na hili Mbeya uwanja unaboreshwa na kuwa wa hadhi ya Kimataifa, mbona hatusikii kelele zikipigwa kuwa labda wanapendelewa?

Mtu atakuja na hoja kwamba kwanini Mwanza Airport isiboreshwe,lkn wengi wetu tuliofika pale tunajuajinsi palivyo padogo na changamoto zinazoikabili uwanja ule Mvua kubwa ikinyesha

Namaliza kwa kusema tusirubuniwe kwa kupotoshwa na wasiopenda maendele ya Taifa letu bali tupendane tuvumiliane pale unapoona mkate fulani umepelekwa kwa jirani yako.

Kikubwa ni nchi yetu sote km unaona sehemu fulani fursa zinaibukia huko jipange uwahi ukakamate hizo fursa, na hii ndio raha ya uhuru tulionaousiobagua Kabila au Ukanda.

Tuache roho mbaya na kugawa Taifa letu kwa ubaguzi huu unaofanywa na Upinzani.
Dah
 
PENDA SANA kuhusisha akili kwenye argument zake,
Tunasema uchumi umelenga kwenye kutumia scarcity ya resource tulizo nazo na kuziallocate effectively and efficiently.
mengine yote ni ............., kitu kikuba cha kulenga ni economic benefits, unaposema unajenga kiwanda kikubwa cha korosho Tabora wakati kiorosho zinatoka mtawara huko ni kufuja mali za uma, ukijenga Mtwara hiyo ndo effective alalocation of resources, (Its should be economic viable thing) na si vingine.
What if korosho imeshaanza kulimwa Tabora?
 
Msigwa anataka uwanja wa nduli ujengwe kama wa chato wakati yeye sio raisi asubiri awe raisi na atoe ushauri kwa mbowe kuwa kumpata mgombea lazima uwe ndani ya chama miaka mitano na sio kupokea watu kama lowasa waliokatwa ccm.lowasa alijiandaa kuwa raisi mpaka sita akalalamika hao marafiki wanaotoa michango ni akina nani
 
Mm ni mzaliwa wa Kilimanjaro.
Nataka nikuambie ukweli usio kificho vingi ya ulivyotaja hapo juu vililetwa na Serikali zilizokuwepo si kwa sababu mnazoaminishwa kuwa jamii zetu zilikuwa zimeelimika jambo ambalo si kweli kwani bado kulikuwa na % kubwa sana ya wasio na elimu kuluko waliopata elimu. Maendeleo yaliebda kwa sababu ya vivutio vilivyokuwepo na ambavyo kwa Taifa vilikuwa ni kipaumbele kuweka miundo mbinu sambamba na huduma. Tena watendaji walikuwa ni wa kutoka jamii zingine za nchi hii na walitimiza wajibu wao pasipo kinyongo bila kujali wao sio watu wa Kaskazini.

Usilolijua ama unalolidharau ni kuwa nchi yetu ina vivutio vingi ambavyo kwa Dunia ya sasa sio lazima biashara yake ipitie baharini kama ilivyokuwa enzi za mkoloni na awamu za mwanzo baada ya Uhuru. Au utalii u-operate kutokea Mikoa ya Kaskazini pekee. Hata Musoma au Mwanza Mtalii anaweza fika akaenda Serengeti mradi atengenezewe plan nzuri na yenye tija kwa upande wake.

Haihitaji mfanya biashara wa madini wa Geita na maeneo mengine wa kanda hizo asafiri hadi Kilmanjaro,Dar,Kigali au Entebe ili aende nchi za nje and v/s. Hayo yamepitwa na wakati sasa ambapo Wafanya biashara wanataka kufika mahali haraka na kumaliza deals zao waangalie issue zingine.. Hivyo kuwa na International Airport eneo la Mikoa ya Ziwa Nyanza kwangu mimi ni fursa nzuri itakayofungua zaidi milango ya uchumi wa taifa letu.

Pili utalii nchi hii ni mpana na umeenea kila kona ya nchi kuliko unavyofikiria wewe. Kigoma inajulikana kimataufa kwa Sokwe na utalii wa eneo la Ziwa Tanganyika,jirani na hayo maeneo ya Geita,Chato Biharsmulo kuna hifadhi zipo. In short kunahitajika kufungua milango ya fursa tulizo nazo kila kona ya nchi yetu ili kuimarusha uchumi wetu. Kinachohitajika ni wananchi kujiongeza na kujichanganya kwenye fursa hizi na sio kufanya promo za ubaguzi.
Mm ni mzaliwa wa Kilimanjaro.
Nataka nikuambie ukweli usio kificho vingi ya ulivyotaja hapo juu vililetwa na Serikali zilizokuwepo si kwa sababu mnazoaminishwa kuwa jamii zetu zilikuwa zimeelimika jambo ambalo si kweli kwani bado kulikuwa na % kubwa sana ya wasio na elimu kuluko waliopata elimu. Maendeleo yaliebda kwa sababu ya vivutio vilivyokuwepo na ambavyo kwa Taifa vilikuwa ni kipaumbele kuweka miundo mbinu sambamba na huduma. Tena watendaji walikuwa ni wa kutoka jamii zingine za nchi hii na walitimiza wajibu wao pasipo kinyongo bila kujali wao sio watu wa Kaskazini.

Usilolijua ama unalolidharau ni kuwa nchi yetu ina vivutio vingi ambavyo kwa Dunia ya sasa sio lazima biashara yake ipitie baharini kama ilivyokuwa enzi za mkoloni na awamu za mwanzo baada ya Uhuru. Au utalii u-operate kutokea Mikoa ya Kaskazini pekee. Hata Musoma au Mwanza Mtalii anaweza fika akaenda Serengeti mradi atengenezewe plan nzuri na yenye tija kwa upande wake.

Haihitaji mfanya biashara wa madini wa Geita na maeneo mengine wa kanda hizo asafiri hadi Kilmanjaro,Dar,Kigali au Entebe ili aende nchi za nje and v/s. Hayo yamepitwa na wakati sasa ambapo Wafanya biashara wanataka kufika mahali haraka na kumaliza deals zao waangalie issue zingine.. Hivyo kuwa na International Airport eneo la Mikoa ya Ziwa Nyanza kwangu mimi ni fursa nzuri itakayofungua zaidi milango ya uchumi wa taifa letu.

Pili utalii nchi hii ni mpana na umeenea kila kona ya nchi kuliko unavyofikiria wewe. Kigoma inajulikana kimataufa kwa Sokwe na utalii wa eneo la Ziwa Tanganyika,jirani na hayo maeneo ya Geita,Chato Biharsmulo kuna hifadhi zipo. In short kunahitajika kufungua milango ya fursa tulizo nazo kila kona ya nchi yetu ili kuimarusha uchumi wetu. Kinachohitajika ni wananchi kujiongeza na kujichanganya kwenye fursa hizi na sio kufanya promo za ubaguzi.

Sawa mkimaliza airport chato na sisi kule tanga angalau mtuwekee traffic lights na cc,hatuna hata moja mkoa mzima..
 
Back
Top Bottom