Kusamehe deni la HESLB ni sawa?

Kusamehe deni la HESLB ni sawa?

mkuu watanzania ni wapumbavu pamoja na lowasa wao pamoja na kusistiza elimu kumbe hajitambui yeye mwenyewe , nadhani bodi ya mkupo ingeboreshwa zaidi kuwa taasis inayojitegemea ili kuendelea kutoa huduma ya uhakika kwa
vijukuu , na wajukuu wetu
kwa kuhakikisha madeni yanalipwa kumbe wadaiwa watasamehewa hii ni aibu kwa mgombea uraisi

sasa kama elimu ni bure mpaka chuo kikuu utamdai nani sasa? manake waliosoma nyuma wasamehewe!
 
ubepari ni kwako ila kwetu sisi ni maamuzi ya busara ya kuanza upya kujenga taifa letu na kuhakikisha keki ya taifa inawafikia wote. hao wote walistahili elimu bure sasa kuwa kwao na wadhifa au utajiri sio kigezo cha kuwalazimisha walipe deni. lakini kumbukumbu za heslb zinaonyesha wabunge vijana wote wamemaliza madeni yao tokea mwaka 2013. labda uzungumzie wabunge wajao
ukisikia ubepari ndo huu, kumsamehe deni aliyenacho na kumkamua masikini, yaani tumsamehe zitto anaezunguka na mgombea na msururu wa wapambe, ila mamalishe akamuliwe rejesho! Bora tubaki na ccm.
 
eddy kiwango cha ajira rasmi hapa Tanzania kikoje, na je unadhani kuna mfumo mzuri wa urejeshaji wa mikopo hiyo? Pia kumbuka uzalendo kwenye nchi hii ulishakufa na Mwalimu tangu enzi hizo pale kwenye Pwani za Zanzibar!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom