Kusamehe deni la HESLB ni sawa?

Kusamehe deni la HESLB ni sawa?

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
17,080
Reaction score
12,300
Lowasa alivyokuwa siha alisema wadaiwa wa heslb watasamehewa madeni yao.

Wadaiwa wa heslb ni watu waliosoma chuo kikuu kwa mkopo wa serikali na huanza kulipa baada ya kuhitimu kupata ajira na kuwa na kipato cha uhakika kwa maana ya ajira ya kudumu.

Unaposema watasamehewa najiuliza mtu kama mhandisi daktari meneja wa benki mbunge kama nasari zitto riz1 nao wakumbwe na msamaha huo napata mashaka sana.

Kwanini wasilipe na fedha hizo zikaelekezwa kwenye kuboresha elimu mfano ujenzi miundombinu ya kufundishia? Mabweni ya kisasa na hata kujenga vyuo vipya.

Je, kama watasamehewa hawa watu wenye ajira na vipato vya uhakika kwani wapo wanaolipwa hadi mil kumi kwa mwezi halafu tukimbizane na mamalishe waliokopa nmb dcb na saccos itakuwa sahihi kweli?

Kwanini tusifute madeni yote tuanze moja kama ndo hivyo?
 
Elimu itakuwa bure, this applies retrospective isipokuwa kwa wale waliolipa cash.
 
Kwa UKAWA yote yanawezekana! kwa CCM ni ndoto.
 
Lowasa alivyokuwa siha alisema wadaiwa wa heslb watasamehewa madeni yao.

Wadaiwa wa heslb ni watu waliosoma chuo kikuu kwa mkopo wa serikali na huanza kulipa baada ya kuhitimu kupata ajira na kuwa na kipato cha uhakika kwa maana ya ajira ya kudumu.

Unaposema watasamehewa najiuliza mtu kama mhandisi daktari meneja wa benki mbunge kama nasari zitto riz1 nao wakumbwe na msamaha huo napata mashaka sana.

Kwanini wasilipe na fedha hizo zikaelekezwa kwenye kuboresha elimu mfano ujenzi miundombinu ya kufundishia? Mabweni ya kisasa na hata kujenga vyuo vipya.

Je, kama watasamehewa hawa watu wenye ajira na vipato vya uhakika kwani wapo wanaolipwa hadi mil kumi kwa mwezi halafu tukimbizane na mamalishe waliokopa nmb dcb na saccos itakuwa sahihi kweli?

Kwanini tusifute madeni yote tuanze moja kama ndo hivyo?

Mpaka sasa unajua wangapi waliolipa?
 
milioni 12 bora aisee, mishara yenyewe midogo. viva Lowassa
 
Elimu ndo kila kitu!elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu.............elimu tu!
 
Lowasa alivyokuwa siha alisema wadaiwa wa heslb watasamehewa madeni yao.

Wadaiwa wa heslb ni watu waliosoma chuo kikuu kwa mkopo wa serikali na huanza kulipa baada ya kuhitimu kupata ajira na kuwa na kipato cha uhakika kwa maana ya ajira ya kudumu.

Unaposema watasamehewa najiuliza mtu kama mhandisi daktari meneja wa benki mbunge kama nasari zitto riz1 nao wakumbwe na msamaha huo napata mashaka sana.

Kwanini wasilipe na fedha hizo zikaelekezwa kwenye kuboresha elimu mfano ujenzi miundombinu ya kufundishia? Mabweni ya kisasa na hata kujenga vyuo vipya.

Je, kama watasamehewa hawa watu wenye ajira na vipato vya uhakika kwani wapo wanaolipwa hadi mil kumi kwa mwezi halafu tukimbizane na mamalishe waliokopa nmb dcb na saccos itakuwa sahihi kweli?

Kwanini tusifute madeni yote tuanze moja kama ndo hivyo?

Vipi kusamehe walio kura za ESCROW ni sawa?
 
Lowasa alivyokuwa siha alisema wadaiwa wa heslb watasamehewa madeni yao.

Wadaiwa wa heslb ni watu waliosoma chuo kikuu kwa mkopo wa serikali na huanza kulipa baada ya kuhitimu kupata ajira na kuwa na kipato cha uhakika kwa maana ya ajira ya kudumu.

Unaposema watasamehewa najiuliza mtu kama mhandisi daktari meneja wa benki mbunge kama nasari zitto riz1 nao wakumbwe na msamaha huo napata mashaka sana.

Kwanini wasilipe na fedha hizo zikaelekezwa kwenye kuboresha elimu mfano ujenzi miundombinu ya kufundishia? Mabweni ya kisasa na hata kujenga vyuo vipya.

Je, kama watasamehewa hawa watu wenye ajira na vipato vya uhakika kwani wapo wanaolipwa hadi mil kumi kwa mwezi halafu tukimbizane na mamalishe waliokopa nmb dcb na saccos itakuwa sahihi kweli?

Kwanini tusifute madeni yote tuanze moja kama ndo hivyo?


mbona inawezekana kusamehe wawekezaji mabilion ya kodi kila mwaka sembuse vi milioni kadhaa vya hesleb?tulishasema tatizo nchi hii siyo pesa,tatizo ni management tu.hela ipo ya kumwaga.wanafunzi wanaweza wakasoma bure bila hata senti tano,kama tutatakuwa na management nzuri.
 
Lowasa alivyokuwa siha alisema wadaiwa wa heslb watasamehewa madeni yao.

Wadaiwa wa heslb ni watu waliosoma chuo kikuu kwa mkopo wa serikali na huanza kulipa baada ya kuhitimu kupata ajira na kuwa na kipato cha uhakika kwa maana ya ajira ya kudumu.

Unaposema watasamehewa najiuliza mtu kama mhandisi daktari meneja wa benki mbunge kama nasari zitto riz1 nao wakumbwe na msamaha huo napata mashaka sana.

Kwanini wasilipe na fedha hizo zikaelekezwa kwenye kuboresha elimu mfano ujenzi miundombinu ya kufundishia? Mabweni ya kisasa na hata kujenga vyuo vipya.

Je, kama watasamehewa hawa watu wenye ajira na vipato vya uhakika kwani wapo wanaolipwa hadi mil kumi kwa mwezi halafu tukimbizane na mamalishe waliokopa nmb dcb na saccos itakuwa sahihi kweli?

Kwanini tusifute madeni yote tuanze moja kama ndo hivyo?

Ukiambiwa Tanzania mpya ndio hiyo kwani ukurasa unafunguliwa upya.
 
Dah ! Kasema lin? Lowasa umekula kura yangu ivi iviiii!!"!!
 
milioni 12 bora aisee, mishara yenyewe midogo. viva Lowassa

kuna viwanda graduate wa kitanzania analipwa 1m wakati wa kutoka nje analipwa 35m sasa kwanini lowasa asihakikishe wanalipwa mishahara sawa ili alipe mkopo bila longolongo?
 
kwani wao sio watanzania wanaotakiwa kulipiwa au kupata haki ya msamaha wa kwa ajiri ya elimu ya nchi yao...???
 
ni sawa kabisa alivyosema Mgombea wetu. wadaiwa wa heslb watasamehewa madeni ili wafanye kazi kwa amani waweze kulipa kodi ya serikali na kuanza kujenga maisha yao. Ni bahati kwamba msamaha utawakumba hata akina zitto sasa unachopaswa kusema ni kuwashauri akina zitto na ridhiwani wao walipe deni hilo kwa kupeleka fedha hizo kwa jamii kama kununua madawati na vifaa tiba
Lowasa alivyokuwa siha alisema wadaiwa wa heslb watasamehewa madeni yao.

Wadaiwa wa heslb ni watu waliosoma chuo kikuu kwa mkopo wa serikali na huanza kulipa baada ya kuhitimu kupata ajira na kuwa na kipato cha uhakika kwa maana ya ajira ya kudumu.

Unaposema watasamehewa najiuliza mtu kama mhandisi daktari meneja wa benki mbunge kama nasari zitto riz1 nao wakumbwe na msamaha huo napata mashaka sana.

Kwanini wasilipe na fedha hizo zikaelekezwa kwenye kuboresha elimu mfano ujenzi miundombinu ya kufundishia? Mabweni ya kisasa na hata kujenga vyuo vipya.

Je, kama watasamehewa hawa watu wenye ajira na vipato vya uhakika kwani wapo wanaolipwa hadi mil kumi kwa mwezi halafu tukimbizane na mamalishe waliokopa nmb dcb na saccos itakuwa sahihi kweli?

Kwanini tusifute madeni yote tuanze moja kama ndo hivyo?
 
Lowasa alivyokuwa siha alisema wadaiwa wa heslb watasamehewa madeni yao.

Wadaiwa wa heslb ni watu waliosoma chuo kikuu kwa mkopo wa serikali na huanza kulipa baada ya kuhitimu kupata ajira na kuwa na kipato cha uhakika kwa maana ya ajira ya kudumu.

Unaposema watasamehewa najiuliza mtu kama mhandisi daktari meneja wa benki mbunge kama nasari zitto riz1 nao wakumbwe na msamaha huo napata mashaka sana.

Kwanini wasilipe na fedha hizo zikaelekezwa kwenye kuboresha elimu mfano ujenzi miundombinu ya kufundishia? Mabweni ya kisasa na hata kujenga vyuo vipya.

Je, kama watasamehewa hawa watu wenye ajira na vipato vya uhakika kwani wapo wanaolipwa hadi mil kumi kwa mwezi halafu tukimbizane na mamalishe waliokopa nmb dcb na saccos itakuwa sahihi kweli?

Kwanini tusifute madeni yote tuanze moja kama ndo hivyo?


MACCM mnaonekana dhahiri hamuamini kinachotokea.
Hayo ndo MABADIRIKOOOOOOO
 
kuna viwanda graduate wa kitanzania analipwa 1m wakati wa kutoka nje analipwa 35m sasa kwanini lowasa asihakikishe wanalipwa mishahara sawa ili alipe mkopo bila longolongo?

Najua una lengo la kuponda sera za Ukawa. Ungejitahidi utafute issue nyingine sio hii. Hizo scenario za 1ml vs 35ml ni less than 0.5%. Wanufaika wa misamaha hii wengi wetu(madaktari, walimu, wanasheria, mainjinia) hatuna vipato vya kutosha. Pia kuna idadi kubwa ya wahitimu hawajapata ajira.
UKAWa wakilisimamia hili sioni sababu ya kutowashawishi wanakijiji wenzangu kutoa kura zote kwa ukawa.
 
Back
Top Bottom