Kusambaa kwa "mkataba" wa Buzwagi; kwa nini Serikali iko kimya?

Dr. Kafumu alisema hana uhakika km ndio weneyewe, mwingine alinukuliwa akisema wanamtafuta aliyeuvujisha. Hawajui kuwa aliyeuvujisha ni mTZ mwenye uchungu na wizi wa mafisadi kama Kara? Nafikiri wako kimya wakiangalia namna ya kuzima soo.... lakini imeshindikana na wameamua kubaki kimya!!!!!!

.
 
Back
Top Bottom