Yan n pale mtu anapoamuaAnajidai haelewi hilo, alafu anauliza nimuache au nimrudishe, wakati jibu analo. Kuna watu kwenye mapenzi wako kama wamerogwa kumbe walaa wanajiroga wenyewe.
ndo ujinga huo wa kiwango cha lami.Yan n pale mtu anapoamua
Tu kujidanganya mwenywe
Ili walau apunguze stress
Kama wamekulana PGA chn au ukubali mle wote na jamaa, mm npo na jiran Yangu alimfuma mke wake na jamaa na akakiri mwanamke kuwa kweli na hatardia tena lakn jamaa aktoka yule jamaa anakula mzgo kama kawaida tena ndani kwake,Mambo wana jf hope mpo wazima nina tatizo naomba ushauri, nina demu nimemtoa dar kumleta songea ... Yani huku mimi ndio baba na mamake kwa kila kitu... Nilipata safari ya wiki mbili kuelekea Arusha nikitokea songea na kumwacha yy baada ya kukaa nae mwezi mmoja, kwa bahati mbaya kuna mshaji wangu alimpenda yaani demu wangu imeonekana anamenda mshkaji mpaka sms za demu wangu kumtafuta mshkaji alinionyesha.. nilivyorudi kutoka Arusha, nilimbana maana niliyasikia kutoka kwa majiran kuwa demu wangu anauhusiano na mshkaji, ..aliniambia yote ni kweli na amekiri hatorudia tena na sim nimemyanganya nina wiki sasa nimemwona ametulia ila sina imani sana .. je nimrudishe au nimbakize...? Maana mm ninasafari sana za wiki na wiki mbili... NAOMBENI USHAURI...
Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
Wakat huo yy anajionando ujinga huo wa kiwango cha lami.
Ndio wazo languMbaya zaidi we mtu wa kusafiri hapo huwez mwamini hata kidogo ili uishi na mtu lazima umwamini anyway vuta subira Kwa uangalifu akirudia rudisha kwao viumbe wa ajabu haya
Jibu analijua ila sema anajifanyisha tu.ni nani katika mapenzi alishawahi amuliwa ugomvi kama huo na watu baki?amua mwenyewe bhana.
Hicho kinachokuzunguka sasa hivi wewe Mtakayote ndicho ukitekeleze kwa bidada.usiwe mahusianoni na mtu kwa kumuonea huruma.siku huruma ikiisha ndo utaanza sasa kubadilisha viatu kulia kushoto.
Huyu binti ana roho ya kupenda shemeji zake, hata huyo akiachiws hatodumu naeUmemtoa Dar? Kwa maana mmeokotana tu.
Kama jamaa ako anampango wa kuoa mwachie. Jitafutie mtoto mwingine mzee. Huyo hakupendi.
Au unaona wivu?
Ila shemeji kwa mujibu wa mtoa mada alisema waliokotana tu Dar.Huyu binti ana roho ya kupenda shemeji zake, hata huyo akiachiws hatodumu nae
Hiyo simu yako hiyo! TCRA watakutafuta.Pole sana
Kunywa maji kwanza
Sent from my Kibamia Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Kuokotana na mtu wakati mwingine huwa si tatizo, tatizo ni tabia za uliye muokota nina hakika shemeji huyo mwanamke hata kama angetolewa nyumbani kwao kwa heshima zote bado kama angelikua na tabia za hivyo za kutamani shemeji zake basi angefanya tu hilo tendo bila ya kujali kumshushia heshima mpenzi wake! Hata huyo aliyefanya nae akimuweka ndani ipo siku atafanywa na rafiki au hata ndugu wa huyo mwanaumeIla shemeji kwa mujibu wa mtoa mada alisema waliokotana tu Dar.
Kikubwa jamaa asimuweke moyoni tu maana atakuja kujiumiza baadaeKuokotana na mtu wakati mwingine huwa si tatizo, tatizo ni tabia za uliye muokota nina hakika shemeji huyo mwanamke hata kama angetolewa nyumbani kwao kwa heshima zote bado kama angelikua na tabia za hivyo za kutamani shemeji zake basi angefanya tu hilo tendo bila ya kujali kumshushia heshima mpenzi wake! Hata huyo aliyefanya nae akimuweka ndani ipo siku atafanywa na rafiki au hata ndugu wa huyo mwanaume
Wanawake/wanaume wa hivi wasio weza kuzuia macho yao na kuyafunga break ni wa kuogopwa zaidi ya ukoma
Waambie nipo hapa njia panda ya UlayaHiyo simu yako hiyo! TCRA watakutafuta.
Sent from my E5306 using JamiiForums mobile app
Ndio tabia yake huyo. Yani mwezi tu kachepuka na rafiki yako?mbona mapema sana?Kaniomba msamaha na kamwe hata rudia kasema... Sasa nipo njia panda
Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app