Nimezaanae na barua alishapeleka!Mchumba/ mumeo?
Njoo PM na SISI (mimi na ww ) tumsaliti dawa ya moto ni moto!! Then utaenda kumuomba msamaha!!Kama kichwa kinavyoonesha mimi nimesalitiwa na mume wangu ila alifika kuniambia mwenyewe kwamba anaomba radhi amenisaliti ananipenda sana hakutaka kukaa na icho kitu moyoni mwake tunaixh mbali mbali.
Elimu sio lazima masomo unaweza mwelimisha mtu ata jinsi ya kuishiSasa hii forum so ya mapenzi