hivi mabib na mababu kama wewe ni mume/mke wangu halaf me nikalala na mwanamke/mme mwingine lakii kwa kuondoa maganzitu, ila moyo upo kwako kwa dhati, utanichukulia kua nimekusaliti??
We kamua tu bana, wasikutishe hawa madada..........Penzi na ngono ni vitu viwili tofauti. Ila hata hivyo mademu karibia wote hawapendi kuona unagawa mali zao pembeni kwa hyo jitahidi asigundue..........Za kuambiwa changanya na zako.
We kamua tu bana, wasikutishe hawa madada..........Penzi na ngono ni vitu viwili tofauti. Ila hata hivyo mademu karibia wote hawapendi kuona unagawa mali zao pembeni kwa hyo jitahidi asigundue..........Za kuambiwa changanya na zako.
Duh mzee huko unakoelekea siyo kabisaaaaaaaaaaaa. I am sure baada ya kufanya hilo unalolitamani utajilaumu sana........halafu kibaya ni kwamba it does not stop with the first time, manake utaendelea na kuendelea hadi utakamatwa. Hebu kaa chini na mamaa muyaongee matatizo yenu. (HAYA SI YANGU NI YAKO WEWE DA WOMANIZER UKIWA UNAMSHAURI MTWA ASIMKONG'OLI WORKMATE WAKE VIPI TENA HAPA?)We kamua tu bana, wasikutishe hawa madada..........Penzi na ngono ni vitu viwili tofauti. Ila hata hivyo mademu karibia wote hawapendi kuona unagawa mali zao pembeni kwa hyo jitahidi asigundue..........Za kuambiwa changanya na zako.
aNGALIA FAIDA ZAKE NA HASARA ZAKE THEN CHAGUA LIPI NI ZURI ZAIDIhivi mabib na mababu kama wewe ni mume/mke wangu halaf me nikalala na mwanamke/mme mwingine lakii kwa kuondoa maganzitu, ila moyo upo kwako kwa dhati, utanichukulia kua nimekusaliti??
Unajua ni nini Gaga, hawa jamaa wawili ni tofauti sana. Yule nilimwambia anakoelekea siko kwa sababu anaonesha ndio kwanza anataka kujifunza uhuni, kwa uzoefu tu ni kwamba ataharibu kabisa yaani inabidi atulie na afikiri vizuri sana manake anaonesha hata ndoa yake bado anaipenda sana. Lakini huyu wa pili yeye anachotaka ni ku-justify anachofanya, sasa wewe unadhani mtu kama huyo unamsaidiaje, kwa upande wangu watu kama hao huwa nawaambia wanachotaka kusikia period...........Ndiyo maana umeona maoni mawili yanayokinzana kimtindo bibie, Usiogope ushauri pia unategemea na hadhira.Duh mzee huko unakoelekea siyo kabisaaaaaaaaaaaa. I am sure baada ya kufanya hilo unalolitamani utajilaumu sana........halafu kibaya ni kwamba it does not stop with the first time, manake utaendelea na kuendelea hadi utakamatwa. Hebu kaa chini na mamaa muyaongee matatizo yenu. (HAYA SI YANGU NI YAKO WEWE DA WOMANIZER UKIWA UNAMSHAURI MTWA ASIMKONG'OLI WORKMATE WAKE VIPI TENA HAPA?)
Soma vizuri mwishoni pia......"Za kuambiwa changanya na zako bibie" hahahahahaDuh mzee huko unakoelekea siyo kabisaaaaaaaaaaaa. I am sure baada ya kufanya hilo unalolitamani utajilaumu sana........halafu kibaya ni kwamba it does not stop with the first time, manake utaendelea na kuendelea hadi utakamatwa. Hebu kaa chini na mamaa muyaongee matatizo yenu. (HAYA SI YANGU NI YAKO WEWE DA WOMANIZER UKIWA UNAMSHAURI MTWA ASIMKONG'OLI WORKMATE WAKE VIPI TENA HAPA?)
pambaaaf sako..........................kusoma hujui hata picha tu kwamba hyu ni mbuzi au punda?
Unajua ni nini Gaga, hawa jamaa wawili ni tofauti sana. Yule nilimwambia anakoelekea siko kwa sababu anaonesha ndio kwanza anataka kujifunza uhuni, kwa uzoefu tu ni kwamba ataharibu kabisa yaani inabidi atulie na afikiri vizuri sana manake anaonesha hata ndoa yake bado anaipenda sana. Lakini huyu wa pili yeye anachotaka ni ku-justify anachofanya, sasa wewe unadhani mtu kama huyo unamsaidiaje, kwa upande wangu watu kama hao huwa nawaambia wanachotaka kusikia period...........Ndiyo maana umeona maoni mawili yanayokinzana kimtindo bibie, Usiogope ushauri pia unategemea na hadhira.
Bahati wapi mkuu, watu wana-cheat hata miaka kumi na hawakamatwi, itakuwa hapa kwenye kiibodi:wink2:bahati yako ulikuwa umekamatwa utamu kweli du! Noma eeh!
Bahati wapi mkuu, watu wana-cheat hata miaka kumi na hawakamatwi, itakuwa hapa kwenye kiibodi:wink2: