ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,265
- 4,452
Anahitajika mtu mwenye utaaluma na uzoefu wa kuandaa katiba,kufuatilia na kusimamia usajili wa NGO au Foundation ambayo itakuwa inaoperate Tanzania nzima.
Kama kuna mwenye uzoefu na ambaye anauwezo wa kusimamia hiyo kazi tafadhali njoo PM unipe taarifa zifuatatazo:
Karibuni
Kama kuna mwenye uzoefu na ambaye anauwezo wa kusimamia hiyo kazi tafadhali njoo PM unipe taarifa zifuatatazo:
- Gharama na mahitaji ya kuandaa katiba incl printing.binding
- Ada za malipo ya Usajili
- Gharama na mahitaji megineyo
- Jumla ya gharama zote pamoja na muda
Karibuni