CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Huyu ndie Ruge bana
Radio au Chombo habari huru kinapo jiingiza kwenye mambo ya siasa madhara yake ni makubwa kuliko mnavyo fikiria.
Angalieni Rwanda na Burundi kilicho tokea pale
Umejitahidi kutoa ya moyoni ingawa hamna ukweli wowote. Clouds fm ni chombo huru na sioni kosa la Ruge kutumia kueleza msimamo wake. Kama una malalamiko mengine ungepeleka mahakamani. Unaonekana dhahiri kwamba ulinyimwa ajira pale sasa unajaribu kutoa machungu yako. Umefanya vizuri sana.
Nafikiri, Maxence Mello wa Jamii Forums, Freeman Mbowe wa Free Media( Tanzania Daima) na Saed Kubenea wa Mwanahalisi watauzingatia huu ushauri wako mzuri.
Fidel80 mimi ni clouds tu! hizo zingine siwezi sikiliza, Tunajenga ndugu yangu hatu bomoi eti...!! hoja zangu zipo hapo zinahitaji majibu! MWITA25 nasikia ndio Ruge him self, kama ni kweli basi atusaidie kufikisha maneno yetu asiwe na JAZIBA.... Mbona at begining alikuwa kimya tu na wala hatukusema kitu, Now tunaona anapotea ndio twamrekebisha, Ile ni Redio ya Watu sio ya MTU(RUGE), Inamaana na Kusaga siku akiwa amepigwa madogo huko aje aanze piga kelele siku nzima pale?? please....!!!
huyu ni yule mtangazaji wa clouds anayebana sauti hadi kupitiliza..anaitwa..sijui mchovu...no,no,i got it..MCHOMVU,.i know this guy na wala sio B12 kama mnavyodhani..Umeikomesha sana maana wametunukiwa hadhi ya super brand radio station( ikiwa ni ya kwanza na pekee Tanzania katika radio), pia imekuwa ni miongoni mwa top 100 mid sized companies imeshika nafasi ya 17. Kwa hiyo acha kuisikiliza wazidi kupaa...HATER
- Maxence sio mwanasiasa na nadra kumuona akitoa thread za kisiasa hapa
- Freeman ni mwanasiasa lakini sikumbuki kutumia Tanzania Daima kibinafsi kama Ruge
- Saeed Kubenea si mwanasiasa ila ni mwanaharakati
Nafikiri, Maxence Mello wa Jamii Forums, Freeman Mbowe wa Free Media( Tanzania Daima) na Saed Kubenea wa Mwanahalisi watauzingatia huu ushauri wako mzuri.
So Huyo NDUKA ni Mchomvu?? At least I have got their attention......!!! Ruge a.k.a MWITA25 fanya Press Conf. utoe dukuduku lako na Ujibu Hoja za SUGU.huyu ni yule mtangazaji wa clouds anayebana sauti hadi kupitiliza..anaitwa..sijui mchovu...no,no,i got it..MCHOMVU,.i know this guy na wala sio B12 kama mnavyodhani..
Subiri atakuja kujibu mwenyewe Ruuge kwa ID yake ya MWITA25.
Umeelewa ushauri wa Fidel80 lakini au umehamishia akili yako kwenye ile fuse ya Masaburi? Fidel80 alisema ni hatari kwa vyombo vya habari kujihusisha na kisiasa, kwa kuwa wote tunajua kuwa niliowataja wanamiliki vyombo vya habari lakini pia ni members hapa JF ndio maana nikasema ushauri huo utawafaa zaidi.
Hakika unahitaji ushauri nasaha......usijaribu kuongozwa na hasira bali akili na busara zako....vinginevyo heshima yako itapotea.....yaani utoe hoja tusichangie, tukichangia shurti utukane? Sasa umuhimu wa forum ni kukubali hoja yako pasi na shaka?
Mbona unaitoa Radio yenu?
Mlishiriki kikamilifu kwenye kampeni 2010 kwa kukipigia kampeni ya nguvu chama cha magamba.
Matunda tunayaona leo mmepewa studio na Rais kama chombo huru cha habari huku mkiiacha BASATA ikipiga miayo.
Khe? tayari umeamua kunipa hii kesi? any way, kama ni zawadi kwa kampeni haina noma sana mbona nasikia na CDM wametoa mamilioni kununua mitumba ya Fuso kwa Mbowe kama zawadi za kampeni?