KUSAGA vipi Radio yetu?

Status
Not open for further replies.
Umejitahidi kutoa ya moyoni ingawa hamna ukweli wowote. Clouds fm ni chombo huru na sioni kosa la Ruge kutumia kueleza msimamo wake. Kama una malalamiko mengine ungepeleka mahakamani. Unaonekana dhahiri kwamba ulinyimwa ajira pale sasa unajaribu kutoa machungu yako. Umefanya vizuri sana.
Mbona unah hisia mbovu wewe, ajira ya nini kwenye redio iliyoajiri watu wasio na sifa. Hii redi inallipa kiasi gani mpaka useme hivyo? Inaweza kulipa nonprofessionals kama akina kibonde tu, but not professionals. Radio imeja uwizi huu!!!!!!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom