Kusafiri/kupanda ndege

Gharama za usafiri wa ndege ziko juu mno na pia hapo zamani ndege ilikua nimkwa ajili ya kwenda matoni tu kwahiyo watu wakawaida wakawa wanaona ukikwea pipa ni kama vile umeukata na hivyo siku hizi ndo mnaona ni bata....
 
sasa we unaweza fananisha huduma za ndani ya ndege na za Treni ya kwenda mwisho wa reli???
 
heh!g kwa hiyo mie ambae sijawahi panda hata mwewe niko kundi gani!??
 
kwa hiyo ukipanda ni kuenjoy kula bata,hahaha tanzania inafuraisha sana,wonders shall never end

there is nothing such kula bata and stuff...sasa we unadhani ni usafiri gani hapa Tanzania ambao ni comfortable na hauna zengwe kivile kufananisha na aina nyingine za usafiri zaidi ya ndege.???
Please ondoa perception ya US, Europe au Far East ambapo kupanda ndege na fast train vyote ni sawa tu maana services na muda wa kufika destinations wafanana...
Hebu kuwa Mtanzania for once tuliza akili na ufanye comparison....
 
Kwasababu kwa nchi yetu ni ka safiri ka gharama.

Hapo umemjibu vyema.... Mie nkitoka Dar to Arusha napanda Dar express nalipa 32,000/- nyashi.... Wa Ndege analipa karibu 200,000 sasa huyu jamaa hakuchekecha tu na kuona ndege ni kula bata? Alaaaaa....
 
Back
Top Bottom