Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu tunaomba full text ya hotuba ya Rais Magufuli mkutano wa AU, Ethiopia

Nicholaus Kilunga

JF-Expert Member
Feb 15, 2014
1,188
567
Nimejaribu kutafuta kwenye vyanzo mbalimbali vya taarifa ili kupata hotuba nzima ya maandishi ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tz alipokuwa akihutubia jana kwa kiswahili nchini Ethiopia lakini kwa bahati mbaya sikufanikiwa kuipata mwenye nayo aiweke hapa na kama haipo basi kurugenzi ya ikulu ijitathimini kama inafaa kuhamia Dodoma na serikali
 
MIMI NI WATOFAUTI SANA HUWA SIJARIBIWI


kujaribiwa ni sehemu ya maisha kwani inakamilisha ubinadamu wetu,hata Ayubu alijaribiwa kwa mujibu wa biblia,ukiona mtu anasema hajaribiwi ujue huyo ni mtakatifu kama si malaika kabisa ama Mungu
 
kujaribiwa ni sehemu ya maisha kwani inakamilisha ubinadamu wetu,hata Ayubu alijaribiwa kwa mujibu wa biblia,ukiona mtu anasema hajaribiwi ujue huyo ni mtakatifu kama si malaika kabisa ama Mungu
Watu wamesubiri mtu atoke, mwishowe katoka hivi. Chadema lazima wakome kama huyu mkalimani. We dance ,we dance.
 
Unataka ile ya mzee aliyokuwa ana rap kama Mc Hammer? Maana alikuwa anapiga mistari mpaka mkalimani kapatwa na degedege na kizunguzungu papo. Na akirudi tuna mtumbua na hela za safari arudishe kama zile za nwenge Simiyu
 
Unataka ile ya mzee aliyokuwa ana rap kama Mc Hammer? Maana alikuwa anapiga mistari mpaka mkalimani kapatwa na degedege na kizunguzungu papo. Na akirudi tuna mtumbua na hela za safari arudishe kama zile za nwenge Simiyu


ha!ha!qwi!qwi! watanzania bana
 
Nimejaribu kutafuta kwenye vyanzo mbalimbali vya taarifa ili kupata hotuba nzima ya maandishi ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tz alipokuwa akihutubia jana kwa kiswahili nchini Ethiopia lakini kwa bahati mbaya sikufanikiwa kuipata mwenye nayo aiweke hapa na kama haipo basi kurugenzi ya ikulu ijitathimini kama inafaa kuhamia Dodoma na serikali
Hotuba IPI mkuu Nick??

Au Ile IMLA aliyowasomea Kule Adi's Ababa??
 
Ni muhimu sana hotuba ya kiongozi w juu wa taifa iwe inasambazwa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari ili kila mtanzania aisome na kuelewe
 
Yaani una Phd kingereza hujui, wakati huo watoto wako wanasoma English medium school, utakuwa unaumwa mkojo wa ubongo. Hata kiswahili hujui nacho.
 
Mkuu nadhani safari nzima itahaririwa na kurugenzi ya mawasiliano ikulu kisha kusambazwa kwa vyombo ya habari navyo vitairusha hewani kama vilivopokea.

Kwa ITV matukio kama hayo na yanayofanana na hayo huwa wanaita KIPINDI MAALUMU nadhani.
 
Unataka ile ya mzee aliyokuwa ana rap kama Mc Hammer? Maana alikuwa anapiga mistari mpaka mkalimani kapatwa na degedege na kizunguzungu papo. Na akirudi tuna mtumbua na hela za safari arudishe kama zile za nwenge Simiyu
Twista rapper wa 11.2 syllables per second amechemsha kwa Magu.
 
Nimeshangaa mzee anatiririka hamna comma hamna fullstop. Mkalimani kupigwa butwaa.
 
Unataka ile ya mzee aliyokuwa ana rap kama Mc Hammer? Maana alikuwa anapiga mistari mpaka mkalimani kapatwa na degedege na kizunguzungu papo. Na akirudi tuna mtumbua na hela za safari arudishe kama zile za nwenge Simiyu
Hivi familia yako unaileaje ndugu mbona huna akili za kuchambua mambo,
 
Hivi familia yako unaileaje ndugu mbona huna akili za kuchambua mambo,
Ha ha ha, karibu nyumbani ili uweze kufanya tathimini vizuri. Lakini wewe mchambuzi wa mambo, ile hotuba iliyosomwa kama cherehani ilikuvutia?
Halafu kuchambua mambo na mahaba ni vitu viwili tofauti. Mind you!
 
Back
Top Bottom