GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,553
- 108,888
Kwako Ndugu na Kamarada ( Comrade ) Gerson Msigwa ( Msemaji wa Rais Ikulu ) ambaye najua pia kuwa huwa unanisoma mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums ( tena 24/7 ) hebu ama hapo ulipo nae sasa umuulize Mama au lifafanuliwe vyema nawe kwani ninayoanza kuyaona kwa 'Wahanga' nalo huku Mitaani ni makubwa.
Kuna Dada ( aliyekuwa Mwalimu katika Shule moja maarufu sana Wilaya ya Kinondoni ) ambaye ni 'Mhanga' wa kukutwa na 'Vyeti Feki' tokea asikie Taarifa hi 'Tata' sasa anazunguka Mitaani hasa kwa wale Watu waliomcheka Yeye Kukosa Ajira hiyo akiwa ameshika Chupa ya K-Vant na 'anawakoga' kwa Kuwaambia kuwa 'Watamkoma' akilipwa ( akizikamata ) Pesa zake ambazo Mwenyewe 'anatamba' kuwa atalipwa kati ya Tsh 45 Milioni hadi Tsh 55 Milioni.
Tafadhali lifafanuliwe haraka lijulikane.
Kuna Dada ( aliyekuwa Mwalimu katika Shule moja maarufu sana Wilaya ya Kinondoni ) ambaye ni 'Mhanga' wa kukutwa na 'Vyeti Feki' tokea asikie Taarifa hi 'Tata' sasa anazunguka Mitaani hasa kwa wale Watu waliomcheka Yeye Kukosa Ajira hiyo akiwa ameshika Chupa ya K-Vant na 'anawakoga' kwa Kuwaambia kuwa 'Watamkoma' akilipwa ( akizikamata ) Pesa zake ambazo Mwenyewe 'anatamba' kuwa atalipwa kati ya Tsh 45 Milioni hadi Tsh 55 Milioni.
Tafadhali lifafanuliwe haraka lijulikane.