Kurugenzi ya Fedha ya Acacia yasema haina kiasi cha dola milioni 300 za kuilipa Tanzania

Kama ingebainika kuwa wazee Wa Makinikia wameridhia kulipa zile trilioni 400s hadi sasa Polepole angekuwa ameshatoa matamko yasiyopungua matano kumpongeza Magufuli kwa msimamo wake.

Lakini hadi sasa tunavyoongea wote wameingia mitini. Hata wale waliokuwa wameshaanza kushangilia juu ya hivi visenti vilivyotolewa kama zawadi ya uaminifu wetu kwao wameanza kuvua gamba, nadhani wanataraji kuvaa gwanda

hapa kasi tu
 

Mkuu Stanley, Et Profesa Kala Magamba!!!! Hahahahaaaa!!.
Wewe ni miongoni mwa ma'great thinker wachache waliobakia Tz
Haha Mkuu kwani si ndo jina lake anaitwa Profesa Kala Magamba Kabudi ama nimekosea?
Ila either way, sijaona izo sifa walizokua wanampa before eti 'mbobezi wa sheria'.....
Sasa mbona anafanya pumba tupu hana tofauti na yule Joyce Ndalichako..
 
Bruv, unaweza kunielezea ati namna gani imefanyika mpaka ile ‘good faith’ amaount ikapatikana? Nimeuliza hili swali mpaka sasa sijapata majibu! Sasa nasikia ripoti za Osoro na Mruma hazikutumika kwenye kufikia maamuzi, sasa kwanini tulitumia pesa zote zile kuwa na hizo tume?

Yaani kutoka USD 190B hadi USD 300M, imekokotolewaje hii?
Ilo swali muulize huyo wanayemuita eti "Mbobezi wa Masuala ya Sheria za Kimaitaifa" profesa kala magamba kabudi
 
Aahh haya tumekusikia ila msalimie Tundu Lisu, mwambie walee jamaa ambao walitaka kutufunga wameshindwa
Hahaaa....from 400 trilion to 700bilion to zero...then ufungwe kwa lipi? My take madini yanathaminishwa na wanaonunua siyo muuzaji. Ni kitu luxury so unaweza kufungwa lock up na bei, siyo lazima wawapeleke segerea.
 
Uzalendo kwanza!jamani kuibiwa tumeibiwa na bado tunapigwa mkwara! Ebu Acacia tupeni chenchi zetu bana acheni siasa.
Hatujawahi kuibia aisee! Kwani walitushikia mitutu ya bunduki kupewa maeneo ya machimbo? Kuibiwa huku maCCM yamewaruhusu yenyewe?
 
Watu wanaongea na mwenye mbwa sio mbwa![/QUOTE
Yale sio malipo bali ni kama msaada wa kudumisha mahusiano.... Kimsingi madai yetu yameshindwa..... Barick wanaweza lipa sawa... Ila makubaliano ya mgawo yana ukakasi kwa sie tunaofahamu mambo ya umiliki wa kampuni... Ila kwa sasa lets rerserve more comments maana siasa inabadilika badilika saana. Tungeendela na Madaiyetu yale mahakamani wangetufikisha lazima.
 
Mbona mnaendeshwa kwa mihemuko lakin watanzania
Barrick na Serikali ndio wamekubaliana kulipa hzo USD 300M
Accacia hakuwepo kwenye mazungumzo toka siku ya kwanza so in principle hawez kukubali kulipa kitu mbacho hakuhusishwa nacho
As long as Barrick ndio mwenye Majority Shares yeye ndio atajua wapi pa kupata hzo pesa since yeye ndio aliingia hayo makubaliano.
Kama ingekuwaivo wasingefyatuka hivo, ukionaivo jua wameambiwa na barrick walipe lasivo wapelekane mahakaman wao kwa wao
 
Hivi Karibuni Acacia wamesema kuwa hawana fedha za kulipa Tanzania. Je, wanasubiri wachimbe makinikia ili walipe?? Wakati huo huo Rais wa kampuni anakuja nchini na private jet.

b2bc0a6401d8e1224ee130dfab7dcfc6.jpg
 
Haina shida we deal na mwenye mbwa, halafu uone wakati wa kung'ata ni nani anaeng'ata kati ya mbwa au bosi wake. Kila tunapoingilia tunapigwa chenga. Tulilalamika kuwa eti Accasia hawaja sajiliwa nchini kwa hiyo ni wezi, tutawachukulia hatua. Tukazungukwa bwana wakaja Barrick fasta tukawaita wanaume.... Hapo ndio tulipopigwa chenga. Tumeongea na 'wanaume' kumbe mlipaji katulia kimya. Sasa anasema hana hela... Uuwi (chenga kila sehemu) yale makinikia yangekuwa yanaliwa bora tu tungeyagawana kama wale samaki potelea mbali.
Hiv ishu nyeti kama hiiinakuwaje wakurupuke kuitangaza adharan wakt wakijuamakubalianobado !!? kwan kulikuwepo na shinikizo la kutangaza ?
 
Serikali ilitengeneza huu mjadala ili picha za lissu na habari zake zifunikwe na sasa ndio wamewasha moto.


Swissme
 
Back
Top Bottom