Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,954
- 26,758
Hata kama sio wa ufipa unakaribishwa kamanda.Nani kakwambia Mimi ni wa ufipa
Hata kama sio wa ufipa unakaribishwa kamanda.Nani kakwambia Mimi ni wa ufipa
Ni ngumuWalikuwa wanataka watu wasahau mgonjwa wao mpigania haki tundu lissu
Hujaelewa,Mbona mnaendeshwa kwa mihemuko lakin watanzania
Barrick na Serikali ndio wamekubaliana kulipa hzo USD 300M
Accacia hakuwepo kwenye mazungumzo toka siku ya kwanza so in principle hawez kukubali kulipa kitu mbacho hakuhusishwa nacho
As long as Barrick ndio mwenye Majority Shares yeye ndio atajua wapi pa kupata hzo pesa since yeye ndio aliingia hayo makubaliano.
Tuanzie kwenye hilo la uchunguzi kukwama kwasababu dereva yuko NairobiKuna kitu!!Nadhani taifa kwa sasa lina tatizo!!! Iweje habari ambayo inaonyesha serekali kushindwa inakuwa na wafuasi wengi kuliko waohuzunika? Ina maana walioko kwenye mitandao ya kijamii sio watanzania?Turudi nyuma tujisahihishe kuna mahali tumeteleza na huko tuendako naona watu kuja kuanza kushangilia visivyoshangiliwa.
Jibu swali, nani anajukumu la kung'ata kati ya mbwa na mwenye mbwaMbwa atakung'ata ukiwa na mwenye mbwa? Huyo mbwa ni kichaa! Halafu nilitegemea kauli hii iwaume wazungu vipi nyinyi inauma sana mna nini?
Tuone huo wa Barrick jamani tujiridhishe tuHatuna mkataba na accacia
Sijibu maswali ya kitoto.Jibu swali, nani anajukumu la kung'ata kati ya mbwa na mwenye mbwa
no no no accacia ni akinA mwapachu, mwanyika. Akina lowasa, rostam Aziz mafisadi wa chadema ambao wengi wanatoka kaskazini akina Lisu Na akina zito kabwe and company wakati barrick inamilikiwa na watu wasiojua ufisadi ni Nini yaani barrick inamilikiwa na genuine innocent tofauti na accacia iliyojaa vibaka.Mtu kama una share accacia uza haraka sanaAcacia ndo Barrick huyo huyo mkuu
Bila kujipa moyo unaweza kufa kabla ya wakati, unafanya vizuri!Umekaririshwa ww unafikiri hata IPO wangesema IPO??? Kuna taratibu za kutoa pesa na lazima zipitie kwenye Idara husika siyo haraka hiyo. Nyie kila kitu mnapinga tu. DW ni redio ya kutangaza habari zozote ziwe za uzushi au ukweli wao wanahitaji biashara tu na waandishi Tabia zao ni zilezile kuandika Vila analysis kama Wa hapa bongo.
Nimekwambia hivi wewe unajua kuliko hao niliowataja. Ungekuwa as smart as u think ungejua kuwa hatujafika hapa kwasababu hao uliowataja ni vilaza bali kwasababu ya ubinafsi wao tu. Walikuwa wanajua nini wanakifanya.Labda nikuulize kidogo kama hao wanasheria wa barrick na huyo kabudi ndio unawaamini sana vipi kuhusu Chenge, Werema na Mwanyika ambao ndio waliosani mikataba ya kishenzi na hao wanasheria wa Barrick hadi kutufikisha hapa tulipo je hawakuwa na akili?
Hata Ikwiriri panafaa sanaVery very sad.
Nitaificha wapi sura yangu Mimi uchwara
Bruv, unaweza kunielezea ati namna gani imefanyika mpaka ile ‘good faith’ amaount ikapatikana? Nimeuliza hili swali mpaka sasa sijapata majibu! Sasa nasikia ripoti za Osoro na Mruma hazikutumika kwenye kufikia maamuzi, sasa kwanini tulitumia pesa zote zile kuwa na hizo tume?
Yaani kutoka USD 190B hadi USD 300M, imekokotolewaje hii?
Acacia na Barrick nani anammiliki mwenzie? Ndio jibu lako hilo.Mwenye mbwa ni nan kaka?
Exactly!Mbona mnaendeshwa kwa mihemuko lakin watanzania
Barrick na Serikali ndio wamekubaliana kulipa hzo USD 300M
Accacia hakuwepo kwenye mazungumzo toka siku ya kwanza so in principle hawez kukubali kulipa kitu mbacho hakuhusishwa nacho
As long as Barrick ndio mwenye Majority Shares yeye ndio atajua wapi pa kupata hzo pesa since yeye ndio aliingia hayo makubaliano.
Mbona tulikuwa tunaambiwa kuna mazungumzo yanafanyika na Acacia?Mbona mnaendeshwa kwa mihemuko lakin watanzania
Barrick na Serikali ndio wamekubaliana kulipa hzo USD 300M
Accacia hakuwepo kwenye mazungumzo toka siku ya kwanza so in principle hawez kukubali kulipa kitu mbacho hakuhusishwa nacho
As long as Barrick ndio mwenye Majority Shares yeye ndio atajua wapi pa kupata hzo pesa since yeye ndio aliingia hayo makubaliano.
Umewaza mbali sana. Hata mimi hili lilinijia akilini!!labda walikuwa wanajibu mapigo ya picha za hospitali ya nairobi zilizosambaa juzi?