Naomba kuuliza nasikia kila anayetumiwa pesa za kazi (mfano za doria, kueweka uzio wa moto,kukusanya maduhuri nk) lazima arudishe fungu (kwa wale wanaoidhinisha matumizi/kupanga matumizi) ndo Meneja/mkuu wa kituo husika ataendelea kutumiwa tena mafungu naomba anayefahamu ukweli anifahamishe wanajamii forum
Pili naomba kuelezwa Retirement( Mapato na Matumizi yake kwa kuzingatia waraka wa fedha) inakuwaje utawaandika na wale uliowarudishia fungu ili awamu nyingine wakugawie tena? Au fungu la kurudisha huwa limeandikwa katika barua ya Imprest?/masurufu unayoletewa?
Na je hii ndo tabia ya wizara zote? au Maliasili pekee? Je tabia hii ni kawaida ya utendaji wa serikalini kwa wanaofanya kazi huko?
Pili naomba kuelezwa Retirement( Mapato na Matumizi yake kwa kuzingatia waraka wa fedha) inakuwaje utawaandika na wale uliowarudishia fungu ili awamu nyingine wakugawie tena? Au fungu la kurudisha huwa limeandikwa katika barua ya Imprest?/masurufu unayoletewa?
Na je hii ndo tabia ya wizara zote? au Maliasili pekee? Je tabia hii ni kawaida ya utendaji wa serikalini kwa wanaofanya kazi huko?