fredy mgendi
Member
- Aug 20, 2019
- 9
- 1
Msaada tafadhali mwanzo niliomba vyuo first round sikubahatika kuchaguliwa nataka kurudia tena second round swali lang nitarudia kulipia tena kwa vyuo ambavyo niliomba mwanzo?
Kama unaomba vyuo vile vile vya mwanzo hulipi ata kumiMsaada tafadhali mwanzo niliomba vyuo first round sikubahatika kuchaguliwa nataka kurudia tena second round swali lang nitarudia kulipia tena kwa vyuo ambavyo niliomba mwanzo?
Kama unaomba vyuo vile vile vya mwanzo hulipi ata kumi