Asante kwa jibu zuri🙏Ndio unaweza ukarudia hata mara 10 kwa mwezi kutokana na matakwa ya daktari kwa sababu MRI sio mionzi (radiation kama ilivyo x ray au CT scan).
MRI(Magnetic resonance imaging) inatumia magnetism .Hadi sasa duniani hakuna madhara yoyote yanayosababishwa na kufanyiwa picha za mwili kwa kutumia magnetism