Kuroiler Breeds


Thanx I will do just that ni kuwepo kila mda hapo ingawa nina biashara nyingi nashukuru sana
 
Mkuu vp naeza nikapata fertlised eggs kutoka kwenu?ya hiyo breed,nategemea kuanza kutotolesha vifaranga napatikana moshi mkuu.
 
mkuu fertilized eggs kwa sasa hakuna, labda mpaka baadae.
namba yangu ni 0767691071 whatsap
 
Mkuu nipo dar nikiitaji kuku 50 itanicost how much kwenye usafiri
 
wakuu habari za mda huu. mwenye vifaranga ama fertilized egg wa kuroiler kwa moshi, nahitaji.
 
wakuu habari za mda huu. mwenye vifaranga ama fertilized egg wa kuroiler kwa moshi, nahitaji.
Mambo vipi, naomba nicheki kwa 0742197840 nikupe namba za mtu yupo arusha ye huwa hakosi.

Siwezi kuweka namba zake hapa sina ruhusa
 
Mambo vipi, naomba nicheki kwa 0742197840 nikupe namba za mtu yupo arusha ye huwa hakosi.

Siwezi kuweka namba zake hapa sina ruhusa

Sa si umtumie inbox mizunguuko yote ya nini? Au we dalali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…