Kura zinaombwa kwa wenye akili ndogo?

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,885
Kwa kauli yako Rais Samia uliyoitoa wakati ukitetea au kujibu malalamiko kuhusu utitiri wa safari zako nje ya nchi.

Umetuthibitishia wapiga kura tunaohoji kwamba unatuchukulia kuwa wenye akili ndogo.

Hilo sio jibu tulilotarajia kulipokea toka kwa Rais wa nchi.

Ambae anajua fika kwamba hao wenye akili ndogo ndio huwa anazunguka kila kona ya nchi ili kuwaomba wampigie kura ya kumuweka madarakani.

Na baada ya kuingia Ikulu, unasema safari za kuzunguka ndani ya nchi hazina Tija kwako!

Kwamba utaishia kupewa orodha ya matatizo lukuki kutoka kwa wenye akili ndogo.

Hivyo bora utembelee nje kwa wenye pesa na akili ndogo au nimekuelewa vibaya mkuu wangu wa nchi?

Je, huwa anatumia udogo wao wa akili kama njia rahisi ya kutulaghai ili tukupigie kura na kisha huondiounakuwamwishowaumuhimuwetu au?

Lakini pia sio sahihi kuwaita wapiga kura wako kama wenye akili ndogo,wakati ukijua kuwa huo mzigo wa madeni unaozunguka ukikopa huko Ughaibuni kwa wenye akili,ndio hasa unaosababisha kelele kutoka kwetu walipaji wenye akili ndogo.

Na sio ziara zako kama ungekuwa unaenda kusalimia wajomba wewe kama wewe.

Kwa sababu mwisho wa siku mzigo wa kulipa wataubeba hao wenye akili ndogo na familia zao.

Wakati wewe na familia yako ukiwa unafurahia mafao yako ya 80%.

Hukupaswa kutuita wenye akili ndogo.

commonmwananchi
100101.
 
Tupunguze ulalamishi.
Utatulipia wewe huo mzigo wa madeni baadae?

Ebu nipe orodha ya miradi ya mafanikio iliofunguliwa yenye kuwezesha ulipwaji wa madeni hayo huko mbeleni.
Tangia tumeanza kutembeza bakuli na kufungua nchi mpaka sasa?

Ebu nitajie kule zinakoelekezwa pesa zinazotokana na tozo mbalimbali zilizoanzishwa na serikali ndani ya mwaka mmoja wa awamu hii?

Maana kwa kauli ya Rais ni kama vile bila bakuli,hakuna pesa Hazina kuu.
 
Samia yuko sahihi, asilimia kubwa ya Watanzania tuna akili ndogo/za kawaida.

Haiwezekani kikundi kidogo cha wasiozalisha ndo kifaidi uchumi wa nchi huku wazalishaji tukiumia lakini hatuchukui hatua kazi kulalamika.

Kiburi cha kutuita Wenye akili za kawaida kinatokana na jinsi anavyotuona Mazuzu Kwa kutotetea haki zetu.
 
Zinaishia kununua mabus binafsi ambayo nayo yamejaa kuliko idadi ya abiria nchini.

Nyie mafisadi kwann msiwekeze kwenye uzalishaji Ili mzalishe ajira na bidhaa,KILA mpigaji ukimbilia kununua mabus tu,then akistaafu na biashara inakufa maana mirija imekata hana tena uwezo wa kula kodi zetu Ili kununulia tairi,spare mafuta nk.

Wachina ndio wenye macho ya kuziona fursa nchini.
 
Bei za bidhaa zote zimepanda mara mbili unasemaje hapa.
Na hazikai mda mrefu upanda tena.
Siyo kazi yangu kuisemea serikali lakini ukweli uko wazi tangu janga la corona na vita ya Ukraine.

Kwa kifupi namshukuru Mungu awamu zote 6 nimeziishi na hakuna hata awamu moja maisha yaliwahi kuwa rahisi.

Hivi wewe unalalamika uliza wauzaji wa vifaa vya ujenzi watakupa takwimu za ujenzi watu wanaporomosha tu majumba.

Tanzania angaikia maendeleo yako hakutatokea maendeleo ya watu
 
Sasa kama mtu elimu yake ni ya kuunga unga ulitarajia aseme nini,alifel la nne akarudia,akafel form two akarudia akafel form four akafanya mtihani kama kujitegemea bado elimu yake ya chuo ndo hivyo full kuungwa kama mnyororo,yupo sawa kulingana na elimu yake!
 
Kwa kauli yako Rais Samia uliyoitoa wakati ukitetea au kujibu malalamiko kuhusu utitiri wa safari zako nje ya nchi.

Umetuthibitishia wapiga kura tunaohoji kwamba unatuchukulia kuwa wenye akili ndogo.

Hilo sio jibu tulilotarajia kulipokea toka kwa Rais wa nchi.

Ambae anajua fika kwamba hao wenye akili ndogo ndio huwa anazunguka kila kona ya nchi ili kuwaomba wampigie kura ya kumuweka madarakani.

Na baada ya kuingia Ikulu, unasema safari za kuzunguka ndani ya nchi hazina Tija kwako!

Kwamba utaishia kupewa orodha ya matatizo lukuki kutoka kwa wenye akili ndogo.

Hivyo bora utembelee nje kwa wenye pesa na akili ndogo au nimekuelewa vibaya mkuu wangu wa nchi?

Je!
Huwa anatumia udogo wao wa akili kama njia rahisi ya kutulaghai ili tukupigie kura na kisha huondiounakuwamwishowaumuhimuwetu au?

Lakini pia sio sahihi kuwaita wapiga kura wako kama wenye akili ndogo,wakati ukijua kuwa huo mzigo wa madeni unaozunguka ukikopa huko Ughaibuni kwa wenye akili,ndio hasa unaosababisha kelele kutoka kwetu walipaji wenye akili ndogo.

Na sio ziara zako kama ungekuwa unaenda kusalimia wajomba wewe kama wewe.

Kwa sababu mwisho wa siku mzigo wa kulipa wataubeba hao wenye akili ndogo na familia zao.

Wakati wewe na familia yako ukiwa unafurahia mafao yako ya 80%.

Hukupaswa kutuita wenye akili ndogo.

commonmwananchi
100101.
Hata mimi ninawaona mnaoichagua CCM mnaakili ndogo, baada ya miaka 50 bila mafanikio yoyote bado mmeing'ang'ania CCM kama vile viongozi wake ndio wenye akili za juu kuliko wewe!
 
Samia yuko sahihi, asilimia kubwa ya Watanzania tuna akili ndogo/za kawaida.
Haiwezekani kikundi kidogo cha wasiozalisha ndo kifaidi uchumi wa nchi huku wazalishaji tukiumia lakini hatuchukui hatua kazi kulalamika.
Kiburi cha kutuita Wenye akili za kawaida kinatokana na jinsi anavyotuona Mazuzu Kwa kutotetea haki zetu.
Unahisi kuzurula nje ya nchi ndo kuimarisha uchumi? Nitajie nchi hata moja ambayo ilipata maendelea sababu ya Rais wake kusafiri nchi za nje,ID yako inareflect na upeo wa akili yako!
 
Samia yuko sahihi, asilimia kubwa ya Watanzania tuna akili ndogo/za kawaida.
Haiwezekani kikundi kidogo cha wasiozalisha ndo kifaidi uchumi wa nchi huku wazalishaji tukiumia lakini hatuchukui hatua kazi kulalamika.
Kiburi cha kutuita Wenye akili za kawaida kinatokana na jinsi anavyotuona Mazuzu Kwa kutotetea haki zetu.
100% kweli kabisa!
 
Sasa kama mtu elimu yake ni ya kuunga unga ulitarajia aseme nini,alifel la nne akarudia,akafel form two akarudia akafel form four akafanya mtihani kama kujitegemea bado elimu yake ya chuo ndo hivyo full kuungwa kama mnyororo,yupo sawa kulingana na elimu yake!
Umeeleweka kwa uwazi mpana mkuu!
 
Hata mimi ninawaona mnaoichagua CCM mnaakili ndogo, baada ya miaka 50 bila mafanikio yoyote bado mmeing'ang'ania CCM kama vile viongozi wake ndio wenye akili za juu kuliko wewe!
Kwenye hili sikupingi sana maana mchaguliwa mwenyewe kaweka wazi ukweli.
 
Siyo kazi yangu kuisemea serikali lakini ukweli uko wazi tangu janga la corona na vita ya Ukraine.

Kwa kifupi namshukuru Mungu awamu zote 6 nimeziishi na hakuna hata awamu moja maisha yaliwahi kuwa rahisi.

Hivi wewe unalalamika uliza wauzaji wa vifaa vya ujenzi watakupa takwimu za ujenzi watu wanaporomosha tu majumba.

Tanzania angaikia maendeleo yako hakutatokea maendeleo ya watu
Huo mstari wa wa wa mwisho chini nimekuelewa, lakini tuna wajibu wa kufikiria maisha ya wengine pia. Mimi hata vifaa vya ujenzi vipande ninayo technology mbadala ya kuzalisha vifaa bora vya ujenzi kwa gharama mara tatu chini ya bei ya sasa, mafuta hata yauzwe lita moja elf 20 nina technology ya kuzalisha mafuta mbadala kwa zero cost maisha yakasonga nikawa tajiri. Vipi wasio na technology hizo au uwezo wa kumudu kununua je. Tukiungana tunaweza boresha maisha ya wengine pia. Ili uwe tajiri inafaa uwainue wanaokuzunguka wakiinuka wataongeza uwezo wa kununua wakiongeza uwezo wa kununua utainuka zaidi.
 
Kwa kauli yako Rais Samia uliyoitoa wakati ukitetea au kujibu malalamiko kuhusu utitiri wa safari zako nje ya nchi.

Umetuthibitishia wapiga kura tunaohoji kwamba unatuchukulia kuwa wenye akili ndogo.

Hilo sio jibu tulilotarajia kulipokea toka kwa Rais wa nchi.

Ambae anajua fika kwamba hao wenye akili ndogo ndio huwa anazunguka kila kona ya nchi ili kuwaomba wampigie kura ya kumuweka madarakani.

Na baada ya kuingia Ikulu, unasema safari za kuzunguka ndani ya nchi hazina Tija kwako!

Kwamba utaishia kupewa orodha ya matatizo lukuki kutoka kwa wenye akili ndogo.

Hivyo bora utembelee nje kwa wenye pesa na akili ndogo au nimekuelewa vibaya mkuu wangu wa nchi?

Je!
Huwa anatumia udogo wao wa akili kama njia rahisi ya kutulaghai ili tukupigie kura na kisha huondiounakuwamwishowaumuhimuwetu au?

Lakini pia sio sahihi kuwaita wapiga kura wako kama wenye akili ndogo,wakati ukijua kuwa huo mzigo wa madeni unaozunguka ukikopa huko Ughaibuni kwa wenye akili,ndio hasa unaosababisha kelele kutoka kwetu walipaji wenye akili ndogo.

Na sio ziara zako kama ungekuwa unaenda kusalimia wajomba wewe kama wewe.

Kwa sababu mwisho wa siku mzigo wa kulipa wataubeba hao wenye akili ndogo na familia zao.

Wakati wewe na familia yako ukiwa unafurahia mafao yako ya 80%.

Hukupaswa kutuita wenye akili ndogo.

commonmwananchi
100101.

Unasema wapiga kura, ni wapiga kura gani hao wakati wanaingia madarakani kwa shuruti kwa kutegemea vyombo vya dola na tume isiyo huru ya uchaguzi? Ongelea kitu kingine hao wahuni hawategemei kura ya mtu yoyote.
 
Huo mstari wa wa wa mwisho chini nimekuelewa, lakini tuna wajibu wa kufikiria maisha ya wengine pia. Mimi hata vifaa vya ujenzi vipande ninayo technology mbadala ya kuzalisha vifaa bora vya ujenzi kwa gharama mara tatu chini ya bei ya sasa, mafuta hata yauzwe lita moja elf 20 nina technology ya kuzalisha mafuta mbadala kwa zero cost maisha yakasonga nikawa tajiri. Vipi wasio na technology hizo au uwezo wa kumudu kununua je. Tukiungana tunaweza boresha maisha ya wengine pia. Ili uwe tajiri inafaa uwainue wanaokuzunguka wakiinuka wataongeza uwezo wa kununua wakiongeza uwezo wa kununua utainuka zaidi.
Comment Bora kabisa tangu July 1.
 
Samia yuko sahihi, asilimia kubwa ya Watanzania tuna akili ndogo/za kawaida.
Haiwezekani kikundi kidogo cha wasiozalisha ndo kifaidi uchumi wa nchi huku wazalishaji tukiumia lakini hatuchukui hatua kazi kulalamika.
Kiburi cha kutuita Wenye akili za kawaida kinatokana na jinsi anavyotuona Mazuzu Kwa kutotetea haki zetu.

Sawa kabisa, wengi tuna akili ndogo, na kwa kiasi kikubwa tuna ukondoo wa asili, ndio maana hawa wahuni wanapora chaguzi na tuko kimya hadi wanatuona makhanithi tu.
 
Back
Top Bottom