Kura yangu kwa Rais.......

Kura yangu kwa Rais.......

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2007
Posts
2,257
Reaction score
373
Yeah.... najua nimepotea sana mtu mzima lakini nitaanza kuonekana jamvini kwa sana katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi. Hadi sasa sijaamua kura yangu ya urais nimpe nani na so fa sijaridhishwa na yale ambayo nimekuwa nikiyasoma. Nimejifunza mengi kupitia chaguzi za Marekani na Uingereza mwaka huuna natumaini viongozi wetu pia naowamenufaika so sitegemei kuona mikutano ya kampeni ikitawaliwa na 'character assassination', na matusi kedede kama ambavyo tumekuwa tukishuhudia chaguzi zilizopita.

Nimeainisha maeneo makuu matano ambayo naamini ndipo matatizo yetu mengi yalipo na kwa kweli kura yangu itakwenda kwa mgombea atakaye toa maelezo mazuri kuhusu namna ya kuboresha masuala haya:

1.Namna ya kuboresha matumizi na kudhibiti ufujaji wa hela za walipa kodi.(Better use of
public money)
2.Jinsi ambavyo tunaweza kukuza uchumi wetu huku tukilinda mazingira yetu.(Economic growth and Environment
Protection)
3.Jinsi ambavyo gap kati ya maskini na matajiri linaweza punguzwa.(Reducing inequality)
4.Uwazi na uadilifu katika uongozi na mambo yote yanayowahusu wananchi.(Open and
effective leadership)
5.Usimamizi na utekelezaji mzuri wa sheria. (Fair enforcement of law)

Ni hayo tu kwa leo, am back.

KANA.
 
Welcome back "Mtoto wa mzungu", mimi hiyo namba 5 ndiyo ningeiweka namba moja. Sheria TZ hazifanyi kazi kabisa, zipo tu kwenye mafaili huko masjala.
 
Asanteni wapendwa, nafikiri ni muhimu sana kama wananchi tutakua na nguvu ya kuwalazimisha hawa wanasiasa wetu waongelee yale tunayotaka kuyasikia na sio kila wakipanda majukwaani wanatukera kwa yale tusiyotaka na yasiyokua na msingi kwetu. Katika namba moja yangu- ningependa kumskia Dr Slaa akiniambia ni hatua gani atamchukulia Mkapa iwapo nitampa kura yangu, mabomu si aliyalitulipulia mwenyewe?
 
Welcome back "Mtoto wa mzungu", mimi hiyo namba 5 ndiyo ningeiweka namba moja. Sheria TZ hazifanyi kazi kabisa, zipo tu kwenye mafaili huko masjala.

Nafikiri tunatofautiana priorities zetu as individuals na sidhani kama kila mtu atakua anasimamia mambo hayo matano kama mimi, nategemea kuona wadau mkija na priorities zenu hapa.
 
Back
Top Bottom