Joshua alisema kuwa yeye na Familia yake watamtumikia MUNGU Kisha akawaambia Chaagueni hivi Leo mtakayemtumikia! Msiichague MIUNGU walioichagua babu zenu wakaangamia!!!!!Ichagueni CCM mteketeeee
mkuu uhuru odinga tusaidiane kurusha humu jamvini kila kitakacho kuwa kinajiri hapa kalenga tangu tarehe 15 mpaka matokeo yatakapo tangazwa kwani WATZ jicho lao ni JF
Yeyote atayepingia kura ccm, hiyo laana itamtafuna maana mwingereza atarudi kwao, na mtabaki kuuza ulanzi na kufa na baridi ya iringa, plse tuondoe wahuni na uongozi wa kifalme kama ndugu zetu wameru walivyo fanya 2012,grace tendega my mp 2014-2020
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.