Hii ni taswira ya kura ya maoni inayoendelea katika ukurasa wa Kiswahili wa tovuti wa IPP. Ni dhahiri kwamba kura hii ni kielelezo cha jinsi wananchi kwa ujumla watakavyo piga kura kuamua muundo wa muungano. Wale wanaojifanya wabishi na kujidai hii nchi ni yao waone kabla ya kujaribu kulazimisha mambo.
View attachment 146793
kwa kifupi hao hata wakipiga kura ni sawa na kumuuliza tiba ya meningitis darasa la saba au no class,unategemea nini? kitendo cha kuwa na wasio jua kusoma na kuandika na darasa la saba wengi kinaathiri mambo mengi sana katika NCHI YETU.Kura hii ya maoni kule Kipatimu, Loliondo, Nyakanyazi,Nkasi,Ihung'wa wanaijua au mnajifurahisha tu?
kama wewe hujapiga please fungua hapa na utumie haki yako kueleza hisia zako.
Home
Asante mkuu nimesha timiza wajibu wangu.
Pia kuanzia sasa ili kuonyesha hisia zangu kwa Tanganyika kila mwisho wa post yoyote nitakayo post hapa nitafunga kwa maneno.
BACK TANGANYIKA
tafadhari kama unaniunga mkono nawe fanya hivyo kila mwanzo au mwisho wa post yako.
huku,uswaya,nyanguge,mtunduru,kamangame na mwazizi,wananchi wanataka madawa,umeme,uhakika Wa bei ya pamba,madawati,na madawa ya mifugo,acheni uhuni Wa serilali tatu jakuna tija kwa umma