Kura ya maoni kitanzi kwa CCM

Kura ya maoni kitanzi kwa CCM

Kitaja

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
2,836
Reaction score
1,383
Wadau,

Kama tulivyomsikiliza Rais Kikwete Kuwa kura ya maoni itafanyika April mwakani na jinsi ninavyoona hilo lazima walitekeleze ukizingatia mizengwe iliyotawala wakati wa kupitisha hiyo rasimu.

CCM wanajua fika Kuwa Rais ajae anaweza asilipe kipaumbele hilo suala la kura ya maoni na pengine mchakato wote kuanza upya kwa hiyo watafanya lolote wawezalo ili kuipitisha katiba kabla JK hajaondoka madarakani.

Kwa maoni yangu Jambo hilo japo linapingwa na watu mbalimbali wakiwemo hata wana CCM wenyewe,lakini kundi la akina Sita hawataki kukubali Kuwa walivurunda hivyo katiba mpya lazima ipite kwa halali ama kwa haramu.

Mtazamo wangu ni kuwa endapo suala hilo litaendelea kulazimishwa ndo kitakuwa kitanzi Cha CCM kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Sababu ya kuamini hivyo ni ukweli Kuwa katiba hii haiwezi kupita bila kuchakachua kura kama ilivvyokuwa katika Bunge maalum la katiba.

Uchakachuaji huo utaamsha hasira zaidi kwa wananchi na kuiadhibu CCM kupitia sanduku la kura kwani huko watakuwa na uhakika wa mawakala watakao linda kura zao.

Jambo la msingi kwa upinzani ni kuchunguza mianya yote ya wizi wa kura na kuiweka wazi mapema. Kwa maana nyingine kura ya maoni itawezesha wapinzani kujua mbinu mpya za kudhibiti wizi wa kura jambo litakalokuwa kitanzi shingoni mwa CCM.

Nawasilisha.
 
Umesema vizuri.
Hata mimi natafuta njia nzuri ya kuiadhibu sisiem.
.
 
Kama mlishindwa kulinda kura 600, mtaweza kura milioni 6! Watanzania hatujitambui. Upinzani Tanzania ni kama njaa ya mbayuwayu.
 
Mkuu nani kakwambia kuwa CCM inatawala kwa kutegemea kura.CCM haihitaji kura yako ili itawale.Wanaamini kuwa ushindi upo kwenye kutangaza kura sio kwenye kupiga kura.Vyama vya ushindani lazima vije na plan B la sivyo vitaendelea kuwa walalamikaji
 
Mwasilishaji unayeamini kura ya maoni itakuwa kitanzi kwa CCM 2015, hakika unaota ndoto ya ndaria kama si ya alinacha......sheria inamtaka rais aitishe kura ya maoni ndani ya siku 84 tangu alipokabidhiwa katiba pendekezwa....wenzako tunawaelimisha wananchi na hasa wapiga kura wetu katiba ilivyowajali na wengi wanapokea elimu yetu.....wewe unabaki ku-speculate tu na kuwasingizia akina sita na Chenge na umeenda mbali kuzusha uchakachuaji.....kama wewe ni expert wa kuchakachua basi chakachua ili watu watakaopiga kura ya hapana wawe wengi na SISI WA NDIYO TUWE WACHACHE....Lakini huwezi na haiwezekani kuchakachua kura kwani ninyi mnakuwa na mawakala wenu vituoni na kura zinahesabiwa vituoni hivyo wakala wenu akimaliza kuhesabu anajua kama mmeshindwa au mnaongoza...UZUSHI MWINGINE WA KITOTO MNO
Wadau,

Kama tulivyomsikiliza Rais Kikwete Kuwa kura ya maoni itafanyika April mwakani na jinsi ninavyoona hilo lazima walitekeleze ukizingatia mizengwe iliyotawala wakati wa kupitisha hiyo rasimu.

CCM wanajua fika Kuwa Rais ajae anaweza asilipe kipaumbele hilo suala la kura ya maoni na pengine mchakato wote kuanza upya kwa hiyo watafanya lolote wawezalo ili kuipitisha katiba kabla JK hajaondoka madarakani.

Kwa maoni yangu Jambo hilo japo linapingwa na watu mbalimbali wakiwemo hata wana CCM wenyewe,lakini kundi la akina Sita hawataki kukubali Kuwa walivurunda hivyo katiba mpya lazima ipite kwa halali ama kwa haramu.

Mtazamo wangu ni kuwa endapo suala hilo litaendelea kulazimishwa ndo kitakuwa kitanzi Cha CCM kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Sababu ya kuamini hivyo ni ukweli Kuwa katiba hii haiwezi kupita bila kuchakachua kura kama ilivvyokuwa katika Bunge maalum la katiba.

Uchakachuaji huo utaamsha hasira zaidi kwa wananchi na kuiadhibu CCM kupitia sanduku la kura kwani huko watakuwa na uhakika wa mawakala watakao linda kura zao.

Jambo la msingi kwa upinzani ni kuchunguza mianya yote ya wizi wa kura na kuiweka wazi mapema. Kwa maana nyingine kura ya maoni itawezesha wapinzani kujua mbinu mpya za kudhibiti wizi wa kura jambo litakalokuwa kitanzi shingoni mwa CCM.

Nawasilisha.
 
Mwasilishaji unayeamini kura ya maoni itakuwa kitanzi kwa CCM 2015, hakika unaota ndoto ya ndaria kama si ya alinacha......sheria inamtaka rais aitishe kura ya maoni ndani ya siku 84 tangu alipokabidhiwa katiba pendekezwa....wenzako tunawaelimisha wananchi na hasa wapiga kura wetu katiba ilivyowajali na wengi wanapokea elimu yetu.....wewe unabaki ku-speculate tu na kuwasingizia akina sita na Chenge na umeenda mbali kuzusha uchakachuaji.....kama wewe ni expert wa kuchakachua basi chakachua ili watu watakaopiga kura ya hapana wawe wengi na SISI WA NDIYO TUWE WACHACHE....Lakini huwezi na haiwezekani kuchakachua kura kwani ninyi mnakuwa na mawakala wenu vituoni na kura zinahesabiwa vituoni hivyo wakala wenu akimaliza kuhesabu anajua kama mmeshindwa au mnaongoza...UZUSHI MWINGINE WA KITOTO MNO


Hii katiba inapita kwa njia ya tume yenyewe kama mawakalq wa ccm,pia usalama wa taifa ambao ndo nguzo ya uchqkqchuqji na mhimili wa kushinda kura ya maoni.Pia msisahau kuna mabadiriko makubwa kwenye ukusanyajibwa mapoto kuongezeka kwa mikakatiya kukusanya kodi na mapato ya serikali ali hali pesa haziendi kwenye utendaji na miradi.hivyo pia tegemea pesa hiyokutumika kama silqha kwa wapiga kuara
 
Mwasilishaji unayeamini kura ya maoni itakuwa kitanzi kwa CCM 2015, hakika unaota ndoto ya ndaria kama si ya alinacha......sheria inamtaka rais aitishe kura ya maoni ndani ya siku 84 tangu alipokabidhiwa katiba pendekezwa....wenzako tunawaelimisha wananchi na hasa wapiga kura wetu katiba ilivyowajali na wengi wanapokea elimu yetu.....wewe unabaki ku-speculate tu na kuwasingizia akina sita na Chenge na umeenda mbali kuzusha uchakachuaji.....kama wewe ni expert wa kuchakachua basi chakachua ili watu watakaopiga kura ya hapana wawe wengi na SISI WA NDIYO TUWE WACHACHE....Lakini huwezi na haiwezekani kuchakachua kura kwani ninyi mnakuwa na mawakala wenu vituoni na kura zinahesabiwa vituoni hivyo wakala wenu akimaliza kuhesabu anajua kama mmeshindwa au mnaongoza...UZUSHI MWINGINE WA KITOTO MNO


Hii katiba inapita kwa njia ya tume yenyewe kama mawakala wa ccm,pia usalama wa taifa ambao ndo nguzo ya uchakachuaji na mhimili wa kushinda kura ya maoni.Pia msisahau kuna mabadiriko makubwa kwenye ukusanyajibwa mapato kuongezeka kwa mikaka ya kukusanya kodi na mapato ya serikali ali hali pesa haziendi kwenye utendaji na miradi.hivyo pia tegemea pesa hiyo kutumika kama silaha kwa wapiga kura
 
Kama mlishindwa kulinda kura 600, mtaweza kura milioni 6! Watanzania hatujitambui. Upinzani Tanzania ni kama njaa ya mbayuwayu.

Sasa kwenye hizo kura 600 kulikuwa na wakala?embu acha kufikiria kwa kutumia masaburi.
 
Mwasilishaji unayeamini kura ya maoni itakuwa kitanzi kwa CCM 2015, hakika unaota ndoto ya ndaria kama si ya alinacha......sheria inamtaka rais aitishe kura ya maoni ndani ya siku 84 tangu alipokabidhiwa katiba pendekezwa....wenzako tunawaelimisha wananchi na hasa wapiga kura wetu katiba ilivyowajali na wengi wanapokea elimu yetu.....wewe unabaki ku-speculate tu na kuwasingizia akina sita na Chenge na umeenda mbali kuzusha uchakachuaji.....kama wewe ni expert wa kuchakachua basi chakachua ili watu watakaopiga kura ya hapana wawe wengi na SISI WA NDIYO TUWE WACHACHE....Lakini huwezi na haiwezekani kuchakachua kura kwani ninyi mnakuwa na mawakala wenu vituoni na kura zinahesabiwa vituoni hivyo wakala wenu akimaliza kuhesabu anajua kama mmeshindwa au mnaongoza...UZUSHI MWINGINE WA KITOTO MNO

Umerogwa wewe unamuelimisha nani?labda ukawaelimishe mamburula wenzako wa ccm maana mlikuwa mnatunga katiba ya ccm na siyo katiba ya nchi.mimi nitapiga kura ya HAPANA.
 
uTAKUWA UMEROGWA KWA KUPIGA KURA YA HAPANA WAKATI WENGI WATAPIGA KURA YA NDIO BAADA YA KUISOMA NA KUIELEWA KATIBA ILIYOTUNGWA AMBAYO WATU WAKO WALISUSA VIKAO VYA KUITUNGA NA KUKIMBILIA MAGAZETINI NA MAJUKWAANI....SASA SISI WANANCHI NDIO TUTAAMUA KAMA KATIBA INATUNGWA MAJUKWAANI AU KWENYE VIKAO NA KURA YA MAONI?
Umerogwa wewe unamuelimisha nani?labda ukawaelimishe mamburula wenzako wa ccm maana mlikuwa mnatunga katiba ya ccm na siyo katiba ya nchi.mimi nitapiga kura ya HAPANA.
 
Back
Top Bottom