KURA YA DR SLAA Yamdondokea MAGUFULI

KURA YA DR SLAA Yamdondokea MAGUFULI

marryan

Senior Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
108
Reaction score
37
Dr slaa amekuwa siku zote anapinga dhuluma , wizi na ufisadi aekuwa akiamini kingozi mzuri hastahli kuwa na kasha za wizi na kuwa nakundi kubwa la watu wanao mpigania ili awe kiongozi.
Wakati anaongea na star tv alionyesha kuwa magufuli ndiye anae faa kuwa rais kwa sababu hana makando kando ya wizi na ufisadi
Dr slaa kwa uadilifu huo anao uamini na kwa sasa mgombea mwenye sifa za uadilifu na aliye msafi ni Dr magufuli na kura ya Dr slaa itadondoka kwa Magufuli.
 
Kura ya dkt mihogo ni moja tu,haina impact yoyote kwa taifa letu

Wewe una akili kweli. Unajua kura ya Dr Slaa nyuma imebeba wananchi wangapi? Unajua tamko lake ni maamuzi tosha ya wananchi na wanachama ?
Unajua maamuzi ya chadema asilia yamekaaje. Subirini muone vumbi lake. Usiwe mshabiki maandazi tumia akili walau kidogo uliyonayo.
 
Asante sana jembe letuuuuuuu....
Kwa kukwepa ulofa na upumbavuuuuu....

Mungu aendelee kukulinda bna kukupa nguvu.......wewe ndo shujaaa mtarajiwa....ila nakukaribisha ccm
 
Dr slaa amekuwa siku zote anapinga dhuluma , wizi na ufisadi aekuwa akiamini kingozi mzuri hastahli kuwa na kasha za wizi na kuwa nakundi kubwa la watu wanao mpigania ili awe kiongozi.
Wakati anaongea na star tv alionyesha kuwa magufuli ndiye anae faa kuwa rais kwa sababu hana makando kando ya wizi na ufisadi
Dr slaa kwa uadilifu huo anao uamini na kwa sasa mgombea mwenye sifa za uadilifu na aliye msafi ni Dr magufuli na kura ya Dr slaa itadondoka kwa Magufuli.

Mwanaume msimamo, slaa Mwanaume
 
Kura ya dkt mihogo ni moja tu,haina impact yoyote kwa taifa letu

Hayo maneno yanadhirhirisha huna umakini: "Kura ya dkt mihogo ni moja" Mohongo anatoka wapi hapa? maana hata heading haimtaji Muhongo. Inaonekana Muhongo anawatoa mapovu na mimacho yenu sana nyie. Kwisha kazi yenu.
 
Dr slaa amekuwa siku zote anapinga dhuluma , wizi na ufisadi aekuwa akiamini kingozi mzuri hastahli kuwa na kasha za wizi na kuwa nakundi kubwa la watu wanao mpigania ili awe kiongozi.
Wakati anaongea na star tv alionyesha kuwa magufuli ndiye anae faa kuwa rais kwa sababu hana makando kando ya wizi na ufisadi
Dr slaa kwa uadilifu huo anao uamini na kwa sasa mgombea mwenye sifa za uadilifu na aliye msafi ni Dr magufuli na kura ya Dr slaa itadondoka kwa Magufuli.
Magufuli atapigiwa na Mowe pia. Mzee Mtei naye amejipanga kumpigia kura Dr. Magufuli.
 
Yupo na kura yake kama kawaida ni kwa muadilifu


Hapana chezea Dr. Silaa, huyo ni mtu mwadilifu hawezi kumpa fisadi kura maana alilitangazia taifa kuwa huyo ni fisadi hawezi kujipinga. Dr. Silaa hoyeeeeee, kura yako Magufuli anaisubiri ili ambwage Lowasa kesho.
 
Hayo maneno yanadhirhirisha huna umakini: "Kura ya dkt mihogo ni moja" Mohongo anatoka wapi hapa? maana hata heading haimtaji Muhongo. Inaonekana Muhongo anawatoa mapovu na mimacho yenu sana nyie. Kwisha kazi yenu.

Wewe maarifa yako madogo,nakuamuru kaa kimya
 
Back
Top Bottom