Nimeangalia viwango vinavyoonesha kupungua kwa bei ya mafuta. Hata hivyo punguzo la halisi ni kama 1-2.5% hivi. Mfano Morogoro lita ya petrol kabla ni Tshs. 2080 lakini bei elekezi kufutuatia punguzo ni Tsh.2029.
Je kwa punguzo hilo kweli serikali inadhamiria kumpunguzia mtanzania ukali wa maisha?
Je kwa punguzo hilo kweli serikali inadhamiria kumpunguzia mtanzania ukali wa maisha?