Bandugu hii inasababishwa na nini haswaa ni psychological effects au hekalu la hamu/nyege zinakuwa zimekwisha?
Je kuna tiba yoyote ina husiana na hii makitu?
Baadhi ya sababu:-
1. Kuugua muda mrefu
2. Ulevi uliopindukia
3. matatizo ya kisaikolojia hasa yatokanayo na mitafaruku ya kimapenzi
Nenda kamuone Dr. Manyuki atakupa tiba ya fasta.
Kama hiyo huwezi basi jifukize manyoya ya fisi maji.
Fidel80 kwani umekosa hamu mapenzi???
Nenda kamuone Dr. Manyuki atakupa tiba ya fasta.
Kama hiyo huwezi basi jifukize manyoya ya fisi maji.
Baadhi ya sababu:-
1. Kuugua muda mrefu
2. Ulevi uliopindukia
3. matatizo ya kisaikolojia hasa yatokanayo na mitafaruku ya kimapenzi
U think so?
Mpwa piga valuu afu tafuta mpododo. Kama vipi njoo Fairway hapa kuna dugunje moja ukiliona tu, mtima unashuka heshima inarudi.
una stress labda pesa haijakaa sawa...