Wasalaam.
Ndugu yangu kapoteza cheti cha kuhitimu form four kilichotolewa na Necta.Je anaweza kufata taratibu zipi kupata kingine?
Pia Necta wanaruhusu mtu baki third party kufatilia cheti cha muhusika au mpaka aje Dsm?
Katika tovuti maelezo haya hayapo.Tafadhali mwenye msaada wa taratibu kabla sijafika huko.
Ndugu yangu kapoteza cheti cha kuhitimu form four kilichotolewa na Necta.Je anaweza kufata taratibu zipi kupata kingine?
Pia Necta wanaruhusu mtu baki third party kufatilia cheti cha muhusika au mpaka aje Dsm?
Katika tovuti maelezo haya hayapo.Tafadhali mwenye msaada wa taratibu kabla sijafika huko.