Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo hamna akili kiasi kwamba mkishinikizwa tu mnakubali? Ndio maana sheria nyingi zinapitishwa kwa makelele ya ndiyooooo kutokana na kukubali kushinikizwa na akina vijisenti
Mzee Mtei alishiriki kushinikiza na ndiye aliyeanzisha chadema na lengo lilikuwa kutafuta mbadala wa CCM kwenye liberation of Tanzanian economy!