Kuporomoka kwa Shilingi, ubinafwishaji Rasilimali ni Sera za chadema!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Wengi wanajiita wana chadema lkn hawakielewi hiki Chama historia yake na kilianzishwa kwa lengo lipi!

Kwa kifupi chadema kilianzishwa na Edwin Mtei ambaye aliwahi kuwa Gavana wa Benki Kuu, huyu Mzee Mtei kwa wasiofahamu ndiyo waliohusika moja kwa moja na liberalization of Tanzanian economy, ikumbukwe kwamba miaka yote ugomvi mkuu kati ya TZ yetu na Mabepari ulikuwa ni thamani ya Fedha yetu, Serikali ilikataa kushusha thamani ya Shilingi yetu!

Mzee Mtei kupitia IMF ndiyo aliyekuwa ana lobby na kushiriki hata kushauri TZ yetu kuwekewa vikwazo ili tushushe thamani ya fedha yetu jambo ambalo alifanikiwa, sasa leo chadema wanalalama Fedha yetu haina thamani!

Chadema wako kwa ajili ya Muzungu kama muasisi wao anapaswa kuwa reference, sababu hasa ya Wazungu ktk Shilingi yetu ishuke thamani ni ili kufanya bidhaa zao ziwe bei rahisi hapa kwetu, hali iliyopelekea kupoteza Viwanda vyetu, hivyo ukilalama kuhusu kupotea kwa Viwanda na kubinafsishwa ni matokeo ya kazi ya Mzee Mtei!

Hata sera za Madini za 3% ni Mzee Mtei ndiye aliyekuwa analobby kwa niaba ya IMF hivyo usishangae leo hii chadema kumtetea Acacia.

Hata aliyeleta TRA Tanzania kama ilivyo leo hii ni Mzee Mtei, hivyo ukilalama khs TRA ujue ni ni kazi ya Mzee Mtei, ...
 
Yaani mharibu nyinyi afu leo sisi ndio tuonekane wabaya


Unajiita sisi ukimaanisha mwana chadema, lkn wewe nina uhakika haukielewi hiki Chama unafwata upepo tu wa kuitwa Upinzani!
 
Mzee Mtei ndiye aliyesaini mikataba mibovu ya madini.

Mzee Mtei ndiye aliyesababisha nchi yetu iwe na katiba mbovu.

Mzee Mtei ndiye aliyepiga dili za kifisadi nchi hii kama vile ESCROW.

Mzee Mtei ndiye aliyempora Malimu Seif ushindi kule ZnZ.

Mzee Mtei ndiye chanzo cha kila tatizo la hii nchi.

NB: Huyu mbuzi wa kafara la Lumumba ni wa kuchoma moto kabla hajaharibu zaidi.
 
Mzee Mtei ndiye aliyesaini mikataba mibovu ya madini.

Mzee Mtei ndiye aliyesababisha nchi yetu iwe na katiba mbovu.

Mzee Mtei ndiye aliyepiga dili za kifisadi nchi hii kama vile ESCROW.

Mzee Mtei ndiye aliyempora Malimu Seif ushindi kule ZnZ.

Mzee Mtei ndiye chanzo cha kila tatizo la hii nchi.

NB: Huyu mbuzi wa kafara la Lumumba ni wa kuchoma moto kabla hajaharibu zaidi.


Ndiye aliyeshiriki kutushikiza tukubali sera za IMF, kujibu maswali yako ni Ndiyo!
 
Sometimes huwa nawaza sana uwezo binafsi kichwani kwa baadhi ya memba wa JF. Something is really wrong somewhere.
 
Niliomba jana mod watuwekee emojifulani humu kwa ajili ya akili finyu kama hizi!
Una hasara sana we mtu na waliokuzunguka
 
Wengi wanajiita wana chadema lkn hawakielewi hiki Chama historia yake na kilianzishwa kwa lengo kipi!

Kwa kifupi chadema kilianzishwa na Edwin Mtei ambaye aliwahi kuwa Gavana wa Benki Kuu, huyu Mzee kwa wasiofahamu ndiyo waliohusika moja kwa moja na liberalization of Tanzanian economy, ikumbukwe kwamba miaka yote ugomvi mkuu kati ya TZ yetu na Mabepari ulikuwa ni Fedha yetu, Serikali ilikataa kushusha thamani ya Shilingi yetu!

Mzee Mtei kupitia IMF ndiyo aliyekuwa ana Lobby na kushiriki hata kushauri TZ yetu kuwekewa vikwazo ili tushushe thamani ya fedha yetu jambo ambalo alifanikiwa, sasa leo chadema wanalalama Fedha yetu haina thamani!

Chadema wako kwa ajili ya Muzungu kama muasisi wao anapaswa kuwa reference, sababu hasa ya Wazungu ktk Shilingi yetu ishuke thamani ni ili kufanya bidhaa zao ziwe bei rahisi hapa kwetu, hali iliyopelekea kupoteza Viwanda vyetu, hivyo ukilalama kuhusu kupotea kwa Viwanda na kubinafsishwa ni matokeo ya kazi ya Mzee Mtei!

Hata sera za Madini za 3% ni Mzee Mtei ndiye aliyekuwa analobby kwa niaba ya IMF hivyo usishangae leo hii chadema kumtetea Acasia.

Hata aliyeleta TRA Tanzania kama ilivyo leo hii ni Mzee Mtei, hivyo ukilalama khs TRA ujue ni ni kazi ya Mzee Mtei, ...
Umeandika kweli kuwa Edwin Mtei alimshauri Mwl JK Nyerere akubali masharti ya WB & IFM. Hata hivyo Mwl alikataa na kusababisha Mtei kujiuzulu kazi. Hiyo inamaanisha mawazo yake hayakutekelezwa. Sasa unamlaumu Mtei kwa lipi?

Sent from my EVA-L19 using JamiiForums mobile app
 
Umeandika kweli kuwa Edwin Mtei alimshauri Mwl JK Nyerere akubali masharti ya WB & IFM. Hata hivyo Mwl alikataa na kusababisha Mtei kujiuzulu kazi. Hiyo inamaanisha mawazo yake hayakutekelezwa. Sasa unamlaumu Mtei kwa lipi?

Sent from my EVA-L19 using JamiiForums mobile app


Unachanganya mambo, Mzee Mtei baada ya kuondoka Benki Kuu alienda IMF na huko ndiko alikoanza liberation of Tanzanian economy, alitumiwa na Mabepari kuishinikiza nchi yetu na Mzee Mwinyi akasalimu Amri, akashusha thamani ya Shilingi yetu na kuanza kubinafsisha Rasilimali zetu pmj na kuuza Viwanda vyetu na kuanzisha TRA, ni kazi ya Mzee Mtei!
 
Ndiye aliyeshiriki kutushikiza tukubali sera za IMF, kujibu maswali yako ni Ndiyo!
Kwa hiyo hamna akili kiasi kwamba mkishinikizwa tu mnakubali? Ndio maana sheria nyingi zinapitishwa kwa makelele ya ndiyooooo kutokana na kukubali kushinikizwa na akina vijisenti
 
Unachanganya mambo, Mzee Mtei baada ya kuondoka Benki Kuu alienda IMF na huko ndiko alikoanza liberation of Tanzanian economy, alitumiwa na Mabepari kuishinikiza nchi yetu na Mzee Mwinyi akasalimu Amri, akashusha thamani ya Shilingi yetu na kuanza kubinafsisha Rasilimali zetu pmj na kuuza Viwanda vyetu na kuanzisha TRA, ni kazi ya Mzee Mtei!
Huu sasa ni uwongo na urongo mtupu. Tafuta ulipojikwaa na sio ulipoangukia ndio utoe lawama. Unachojaribu kufanya ni kuwaonesha marais na serikali zilizopita hazikuwa na akili wala weledi.

Sent from my EVA-L19 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom