Smart-brain
Senior Member
- Mar 17, 2014
- 101
- 62
Kwa mtu mwenye uelewa japo wa kawaida tu, anaweza ona jinsi kasi ya kuporomoka kwa CCM ktk jamii ni kubwa, licha ya jitihada nyingi zifanywazo.
SWALI: Je, CCM wakiiga KILA wafanyacho CHADEMA (kwa sasa, yaani Mikakati, mbinu ,nk), wanaweza kurejesha ushawishi unaoporomoka?
SWALI: Je, CCM wakiiga KILA wafanyacho CHADEMA (kwa sasa, yaani Mikakati, mbinu ,nk), wanaweza kurejesha ushawishi unaoporomoka?