Kuporomoka kwa CCM

Kuporomoka kwa CCM

CCM kuga mbinu za CHADEMA what the F**CK yaani ni kama CCMIZI KUMUUA TEMBO au NAZI KUVUNJA JIWE
 
CCM bila ya mbeleko ya NEC, risasi, mabomu na mapanga ni weupe kabisa yaani kipo madarakani kwa mabavu ya dola.
 
hivi chadema bado ipo? chama lilishajifia hilo
Ukitaka kujua kama chadema bado IPO au imekufa, mwambie mwenyekiti wenu aruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani japo kwa wiki mbili tu!.......
 
Kwa hiyo Chadema ina viongozi wanaoweza kununulika kirahisi hivyo?? Then tukiwapa nchi wataiuza kwa mabeberu wa kizungu!!
wanauliwa ..alafu unajifanya hujui ..unafikiria wanapenda
 
Back
Top Bottom