Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,530
- 6,121
Tiba mbadala ndio solution ya ulimwengu huu,ila tu na nyie punguzeni usanii muimarishe tiba hiiWapumbavu hao wanao niita mimi Tapeli wengi wao hawakwenda shule wamekimbia umande wa Asubuhi mimi nina watibu watu na wanapona na siyo tu kutibu ukimwi mimi ninatibu maradhi yaliyoshindikana kutibika Ma-Hospitalini aka (Chronic Disease) kama Maradhi ya
Maradhi ya Hepatiti B Virus,
Virus, Maradhi ya Saratani (Cancer), Maradhi ya Figo ya aina yoyote yale,
Maradhi Ya Kifuwa Kikuu Maradhi ya Presha,Maradhi ya Moyo, Maradhi ya Kisukari,Maradhi ya
Kiharusi (Stroke), Uvimbe kwenye Kizazi (Ovarian cyst) Fibroid,Maradhi ya UTI
Sugu, Maradhi ya Pumu,Maradhi ya Ngiri, Maradhi ya Vidonda vya
Tumbo,Maradhi ya Visunzuwa (Vikaanga) Sehemu za siri,Maradhi ya Fangasi
Sehemu zozote mwilini,Tiba ya Maradhi ya Ki Shetani,Jini Mahaba,Uchawi Mwilini,Kutopata Mimba,Kupata bahati ya kuolewa au kupata kazi ya kuajiriwa,
Maradhi ya Chango la Kizazi na Maradhi ya Tezi Dume (Prostate Cancer),
Magonjwa ya Viungo Vya Ndani Vya Uzazi aka Pelvic Inflamatory Disease (PID)
Tatizo la Ugumba Utasa Kutoshika Mimba kwa Mwanamke aka Infertility
Wanitafute Mimi Ninaweza kuwatibia na Wakapona Kwa mawasiliano
kwa Mawasiliano DR. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
View attachment 422488
Kwa haya maneno yako inaonekana kweli we tapeli, mke wa mtu anaingiaje hapa, we kama kweli unatibu na wanapona tangaza dawa yako kama babu wa loliondo watu wapange foleni upige hela, kwan babu wa loliondo kuna mtu alie msumbua aseme dawa yake katoa wapi? Hapo ndio tutajua unajiamini na dawa yako zaidi utabaki na mikwara yako kama ulionipiga eti utaniloga[emoji3][emoji3][emoji3]Kama mimi ni tapeli nilimtapeli mkeo nikamtibia na akapona unayo habari hiyoı?
Yaelekea aliishakutapeli, mpaka umefikia hatua ya kumwita mbwa binAdam mwenzio!!sasa kwa nini utapeli wengi umewatapeli ndiyo maana unaweka namba zako fake acha utapeli mbwa ww
Mkuu hebu uwe naamani hakuna ugonjwa unaitwa HIV..shangaa utasikia MTU kaambukizwa ukimwi..hivi unaweza ukamuambukiza mtu kinga ya mwili? hhhhhh...Kwasababu mpaka leo siamini km dawa ipo.. Maana watu wanakufa
So. Kuna nini...Mkuu hebu uwe naamani hakuna ugonjwa unaitwa HIV..shangaa utasikia MTU kaambukizwa ukimwi..hivi unaweza ukamuambukiza mtu kings ya mwili? hhhhhh...
Kuna usanii tu..[emoji4]So. Kuna nini...
MmmhS
Siyo Mpinzani ni MwanaCCM anayekosoa Serikali mpenda Democracy.
Kuna usanii tu..[emoji4]
wanakufa sababu ukisha ambiwa una ngoma hofu itakayo kuvaa hata kula huli mawazo kibao usingizi hupati na mambo kama hayo...baada ya muda ukijiangalia kwenye kioo utaona umekonda hapo tena utaona ngoma isha kula kwangu kumbe mawazo ndio yamekukondesha! na ukifikia hapo lazima kinga ipungue na utakuwa expaused kwa magonjwa kama tb, maleria, kuhara, amoeba, ukurutu,...ukienda magomeni kupata vididonge eti vya kuongeza muda wa kuishi ndio wanakumalizia...[emoji23] [emoji23] [emoji23]So. Kuna nini...
Hunishawishiiwanakufa sababu ukisha ambiwa una ngoma hofu itakayo kuvaa hata kula huli mawazo kibao usingizi hupati na mambo kama hayo...baada ya muda ukijiangalia kwenye kioo utaona umekonda hapo tena utaona ngoma isha kula kwangu kumbe mawazo ndio yamekukondesha! na ukifikia hapo lazima kinga ipungue na utakuwa expaused kwa magonjwa kama tb, maleria, kuhara, amoeba, ukurutu,...ukienda magomeni kupata vididonge eti vya kuongeza muda wa kuishi ndio wanakumalizia...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajuwa Ugonjwa wa Malaria inauwa sana kuliko ugonjwa wa Ukimwi au Ugonjwa wa Saratani aka Kansa unauwa sana Watu haswa hapo nyumbani Tanzania lakini dawa hospitali hakuna Dawa za kienyeji zipo.Hauja shangaa? Ugonjw amwengine upo kwa wingi nchini Tanzania ni Homa ya matumbo aka (Typhoid fever ) dawa za hospitali hazisaidii lakini dawa za kienyeji zinasaidia kuutibu huo ugonjwa wa Homa ya amtumbo bado hujashangaa kwanini? Ugonjwa wa Saratani ya Figo aka (Kidney Cancer) saratani ya Matiti aka (Breast Cancer) Hepatitis B Virus na Prostate Cancer hayo ni baadhi ya Maradhi ambayo hakuna matibabu Ma-Hospitalini ila kwa dawa za Mitishamba unayatibu na mgonjwa anapona. Unajuwa hiyo khabari? Usihangae mkuu shangaa shilingi inazama baharini wakati meli kubwa inaelea majini.Kwasababu mpaka leo siamini km dawa ipo.. Maana watu wanakufa
Hiyo namba ya sim ya nchi gani?Mkuu zipo Dawa za Asili zinazo weza kutibu Ukimwi na ukapona kwa muda usiozidi mwaka mmoja. Mimi pia mmoja wapo katika hao Watibabu wa Tiba za asili wanaotibu huo Ukimwi. Nimesha wahi kumtibia mgonjwa yupo mjini mbeya mwaka jana amepona hayo maradhi ya Ukimwi. Ukihitaji tiba toka kwangu
Ukiwa na Shida yoyote ile
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Wewe nitafute kwa hiyo namba niliyoweka kama una shida na mimi.Hiyo namba ya sim ya nchi gani?
kaka mimi sio msanii mimi nina watibu watu na wanapona ingawa sijajitangazia kwenye Tv au Media lakini nina watibu wagonjw awa maradhi sugu yasiyotibika Ma-Hospitali na wagonjwa wanapona kabisa.Tiba mbadala ndio solution ya ulimwengu huu,ila tu na nyie punguzeni usanii muimarishe tiba hii
Hongera kaka,ni upo fb piakaka mimi sio msanii mimi nina watibu watu na wanapona ingawa sijajitangazia kwenye Tv au Media lakini nina watibu wagonjw awa maradhi sugu yasiyotibika Ma-Hospitali na wagonjwa wanapona kabisa.
[emoji28] [emoji28]Kwani wewe unao?