Kupitia hii a.k.a ( Jina la Utani ) la huyu ' Ustaadh ' unagundua Kipaji gani Kilichojificha ndani yake na muhimu katika Jamii?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,651
109,045
Anaitwa Ustaadhi Hassan Thabit a.k.a Mgonga Bure. Naomba tuifanyie Kazi hiyo a.k.a yake tafadhali ili tuweze kuona ana Kipaji gani ambacho kina umuhimu wake katika Jamii yetu na labda Wanadamu wengine tunatakiwa tumuige kwa manufaa yetu.

Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…