Kupinduliwa kwa Nkurunzinza

Kupinduliwa kwa Nkurunzinza

Sio kuwa overrated ila nmeshaeleza hapo wameua ma-Rais wa kihutu sio chini ya Watatu ndio wamshindwe Nkuruzinza??

Kumbuka Burundi Watutsi ni chini ya 20% ila tokea Uhuru wametawala wao both serikali na Jeshi na "wamewaachia" Wahutu mwaka 1992 tena voluntarily tu ndio uchaguzi wa kwanza ukafanyika.

Sasa watu kama hao ndio washindwe kumuua Rais wa Kihutu wakiamua tena? Ndio maana napinga uhusika wa Kagame kwenye jaribio Hilo maana isingechukua hata dakika 5.
Waliwaua kwa msaada wa Tanzania na nyerere!na paka alishindwa kwasababu ya Tanzania kuhusika kuyazima mapinduzi!! Paka hawezi ku outshine master wake Tanzania kwenye medani!!


Jasusi mbobezi nampa HONGERA zake za kutosha na jk kipindi kile!!

Source mtikila mchungaji!!
 
Kwa mambo ambayo hamyajui ..msijifanye kuyajua kwa undani..buyobe Kuna vitu kaandika uongo.
mkuu tuletee ya kwako ya ukweli ...kama huna sisi tunapambana na haya ya uongo
 
Sikumbuki vizuri huyu rais alifanikiwa kuongoza muhula wa tatu au vipi sikufuatilia sana issue yake nilikuja tu kusikia amefariki.
Aliongoza hadi akakabidhi ikulu kwa Ndahishimiye Kabla hajaapishwa nadhani ndio akafariki
 
Back
Top Bottom