Mh gharama itakua kubwa mana naona mpng wa kulasimisha kimara laki 3 then baada ya hapo kufatilia hati unalipa 2 laki sasa upimaji binafsi itakuaje c balaa ilo ingekua laki tatu kila mtu angekua na hati tanzania jipange mamilion mzee la sivyo ngoja ukutane na watt wa mjini ndo utajua kwann watu wanasema wanaenda dar kutafuta maisha baada ya hela yako kukutoka wa watu wa dar