Kupima Reasoning ya Mwanamke

Kupima Reasoning ya Mwanamke

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,315
Reaction score
8,747
Kuna Member Mmoja alishawahi kuleta post kam hii jukwaani la namna ya kupima uwezo wa kufikiri wa Mwanamke sema kwa bahati mbaya hio post nimeshindwa kuiona.

Kw mf unataka kupima uwezo wa kufikiri au kuchambua vitu bila kujali elimu na mwanamke either awe mke/mpenzi.

Je maswali gani tactical ya kumuuliza?

Your contributions will be appreciated
 
Kwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.

Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
 
Kwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.

Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
mwanamke kiumbe dhaifu wewe wasifie hivyo hivyo utakuja shangaaa
 
mwanamke kiumbe dhaifu wewe wasifie hivyo hivyo utakuja shangaaa
Wanaume siku hizi ndiyo tumekua dhaifu na tunazidi kuwa dhaifu. Udhaifu wa wanawake siku hizi unabakia kwenye mascularity tu na huu sio udhaifu ni toafuti za jinsia.. vingine wanakuzidi wewe

Pesa,elimu,Akili za maisha, kila kitu. Sasa kiumbe chenye nguvu kitaanza kujadili udhaifu wa kiumbe dhaifu wtf!!
 
Unataka ugundue nn?
Wewe reasoning yako ni ya kiwango gani?

Anyway, unachokitafuta utakipata ila ki uhalisia wanawake wengi mambo mengi tunafanana mama zetu, ukiona MTU ambae hajitambui hata kwenye vitu vidogo, research yako ianzie kwa mama yake. Mtoto umleavyooooooo.....!

Na usisahau kuwa % kubwa ya wanawake walio wengi mungu kawajalia uwezo mkubwa wa kufikiri, na huwezi kumtambua MTU kwa kumuona tu, wewe angalia matendooo.
 
Wanaume siku hizi ndiyo tumekua dhaifu na tunazidi kuwa dhaifu. Udhaifu wa wanawake siku hizi unabakia kwenye mascularity tu.. vingine wanakuzidi wewe

Pesa,elimu,Akili za maisha, kila kitu. Sasa kiumbe chenye nguvu kitaanza kujadili udhaifu wa kiumbe dhaifu wtf!!
endelea utakuja kuniambia ndugu yangu,mwwanamke hata awee vip hawez mshinda mwanaume hiyo ni nature,na kueleza tuu ndugu yangu mwanamke sio mtu wa kumpa credit mapema hivyo
 
endelea utakuja kuniambia ndugu yangu,mwwanamke hata awee vip hawez mshinda mwanaume hiyo ni nature,na kueleza tuu ndugu yangu mwanamke sio mtu wa kumpa credit mapema hivyo
Mwanamme mwenye mawazo haya namuona hajastaarabika kwangu.

Wanawake wapo hadi mimi walionizidi na hata wewe najua wapo waliokuzidi kila kitu isipokuwa tofauti za kibailojia hizi hazikufanyi umzidi maana ni Gender rules.

Sasa kama mwanamke.
-anakuzidi pesa/uchumi
-anakuzidi uwezo kupambanua mambo
-Elimu
-ushawishi
-power/maamuzi

Utasema huyu ni dhaifu?
 
Mwanamme mwenye mawazo haya namuona hajastaarabika kwangu.

Wanawake wapo hadi mimi walionizidi na hata wewe najua wapo waliokuzidi kila kitu isipokuwa tofauti za kibailojia hizi hazikufanyi umzidi maana ni tofauti.

Sasa kama mwanamke.
-anakuzidi pesa/uchumi
-anakuzidi uwezo kupambanua mambo
-Elimu
-ushawishi
-power/maamuzi

Utasema huyu ni dhaifu?
yaan nasema hivi we wasifie utakuja kunambia,mwanamke hata awe na dunia nzima hiii uwezo wake ni weak sana ukilinganisha na mwanaume asiye na kitu
 
Mwanamme mwenye mawazo haya namuona hajastaarabika kwangu.

Wanawake wapo hadi mimi walionizidi na hata wewe najua wapo waliokuzidi kila kitu isipokuwa tofauti za kibailojia hizi hazikufanyi umzidi maana ni tofauti.

Sasa kama mwanamke.
-anakuzidi pesa/uchumi
-anakuzidi uwezo kupambanua mambo
-Elimu
-ushawishi
-power/maamuzi

Utasema huyu ni dhaifu?
Marioo tuliza mshono. Aliyewaumba anasema anasema wana mapungufu ww kulelewa kidogo tu unawasujudia. Au sio ME ww?
 
Mwanamke ni mwanamke tu hata awe ana mabawa...kuna ka demu hapa nilipopanga ni kazuri ila kana akili ndogo sijapata kuona...ilikuwa jpl...kakaniomba elf 5, nikaona kukapa bure ni makosa nikakapa nguo chache kanifulie...nikaenda zangu ..nimekuja kurudi j4 bado hakajafua...kalivoniona kakaanza kuzifua..kakaanika, jioni mvua inanyesha hakakuzianua..zikalowa ikawa j5...kakaziacha pia zikalowa hadi jana...yani mpaka muda huu zipo kwenye kamba kweli wanawake ni wanawake tu...haka kabinti kana matako makubwa lakini akili ndogo kama punje ya ulezi....
 
Haya subiri siku Malkia Elizabeth awe dhaifu kwako.

Halafu sina muda wa kumsifia mtu mimi nakuelekeza uachane na mawazo yako.
mwanamke ni kama mtoto,huyo malkia mwenyew ni dhaifu hana lolote cheo ndio kinampa jina kubwa,lakin ukiishi na mwanamke kama ni kiumbe mwenye nguvu atakushinda mwanamke yeye ni mtoto miaka yote hakupewa nguvu hata tangu uumbaji,ndio maana hawa alitongozwa na shetan nyoka akashawishika.
 
Marioo tuliza mshono. Aliyewaumba anasema anasema wana mapungufu ww kulelewa kidogo tu unawasujudia. Au sio ME ww?
Aliyewaumba hakuwahi kuwapa nafasi na au hata kuwahesabu.

Ila leo wanawake wana kaya zao kama wanaume tulivyo, wana wahubiria hadi makanisani kama tufanyavyo wana nguvu na ushawishi kama tulivyo.

Aliyewaumba alikuwa hajasoma nyakati tu. niite mario ila naweza kuwa babayako.
 
Aliyewaumba hakuwahi kuwapa nafasi na au hata kuwahesabu.

Ila leo wanawake wana kaya zao kama wanaume tulivyo, wana wahubiria hadi makanisani kama tufanyavyo wana nguvu na ushawishi kama tulivyo.

Aliyewaumba alikuwa hajasoma nyakati tu. niite mario ila naweza kuwa babayako.
haupo serious bro tulia tuuu
 
Aliyewaumba hakuwahi kuwapa nafasi na au hata kuwahesabu.

Ila leo wanawake wana kaya zao kama wanaume tulivyo, wana wahubiria hadi makanisani kama tufanyavyo wana nguvu na ushawishi kama tulivyo.

Aliyewaumba alikuwa hajasoma nyakati tu. niite mario ila naweza kuwa babayako.
Hahahhaha Mungu hajui alama za nyakati? Anyway endelea kuwasujudia
 
mwanamke ni kama mtoto,huyo malkia mwenyew ni dhaifu hana lolote cheo ndio kinampa jina kubwa,lakin ukiishi na mwanamke kama ni kiumbe mwenye nguvu atakushinda mwanamke yeye ni mtoto miaka yote hakupewa nguvu hata tangu uumbaji,ndio maana hawa alitongozwa na shetan nyoka akashawishika.
Baki na stori zako na nyoka, ila uhalisia unauona mwenyewe.

Kujumuisha kwa Kusema wanamke ni dhaifu huu ni ujuha na wakati kuna wanaume dhaifu kuzidi wanawake.
 
Unataka ugundue nn?
Wewe reasoning yako ni ya kiwango gani?

Anyway, unachokitafuta utakipata ila ki uhalisia wanawake wengi mambo mengi tunafanana mama zetu, ukiona MTU ambae hajitambui hata kwenye vitu vidogo, research yako ianzie kwa mama yake. Mtoto umleavyooooooo.....!

Na usisahau kuwa % kubwa ya wanawake walio wengi mungu kawajalia uwezo mkubwa wa kufikiri, na huwezi kumtambua MTU kwa kumuona tu, wewe angalia matendooo.
Mmmh aisee..hold on
 
Back
Top Bottom